KUBWA NINI? hiyowatajuaje ni mume wa mtu.. labda kama ni kubwa sana
hiyo mwanaumeKUBWA NINI? hiyo
Miss Chagga unanichanganya mwanaume inakuwa kubwa ama mkubwa.hiyo mwanaume
Mkuu mawazo yako hatari...Mimi nadhani wanafanya ivyo kuwabana wanaume waongozane clinic na wake zao,angalau nao wakapate ushauri kidogo juu ya malezi ya mimba,lishe ya mama,n.k!!Maana sio watu wote ni waelewaDuh..mbona kwa hasira hivyo?usikute doctor mkuu wa hiyo hospital ni mwanamke halafu mmewe ni kicheche kaona arahisishe kuwakamata wabaya wake.