Hamadi Mmari
Member
- Feb 25, 2016
- 16
- 8
Hivi sijaelewa, kila member wa JF ninae muona humu ndani anatumia jina ambalo si halisi, sasa sijui ni ni terms and conditions za JF kuchit? Nawasilisha hoja...
Ni Ku chitKu-chit ndo kufanyaje kwani
...kumaanisha .?Ni Ku chit
Kumaanisha tunachit chatika...kumaanisha .?
Mimi tu ndo natumia jina halisiHivi sijaelewa, kila member wa JF ninae muona humu ndani anatumia jina ambalo si halisi, sasa sijui ni ni terms and conditions za JF kuchit? Nawasilisha hoja...
Si kweli kwamba kila Member anatumia jina lisilo halisi lakini pia kutumia jina lisilo la kweli unakuwa huru kuchangia. Wengine ni wafanyakazi sehemu ambazo wasingependa wajulikane.Hivi sijaelewa, kila member wa JF ninae muona humu ndani anatumia jina ambalo si halisi, sasa sijui ni ni terms and conditions za JF kuchit? Nawasilisha hoja...