Recent content by halifa saidi

  1. H

    As vita + Tp Mazembe + Yanga

    Mwinyi Zahera kashapasuka huko na Congo yake hakuna cha Matambi wala makoronya
  2. H

    Net budget TSH 10 Million. Je, naweza agiza na kumiliki IST kutoka nje?

    Hahahaaaaaaa. Nimemkumbuka Mkuu wa Mkoa bwana Makonda
  3. H

    Mechi hii sio ya kukosa

    Mechi hiyo itachezwa lini na saa ngapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. H

    KBC mubashara Confederation cup

    Livestream nenda Google play install startimes ucheki live bila chenga. Second half ishaanza sasa
  5. H

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Shukran kaka kwa thread yenye kutoa mwanga kwa ndugu zako wa Tanzania. Tukiwa na moyo ulionao kwa hakika tutafika mbali. TEAM (T-ogether E-veryone A-chieve M-ore)
  6. H

    David Kafulila amtaka RC Makonda kuonesha vyeti

    Hata Luhende aliesemekana anafanya kazi kama Manager wa Hotel Sinza alivyoteuliwa na Raisi kuwa Mkurugenzi alionesha vyeti vyake kukanusha kuwa yeye sie huyo Manager wa Hotel Sinza tena Raisi alimwambia waoneshe Masters yako waione. Sasa mbona kwa huyu inakuwa ngumu kuonesha kuna nini hapa.
  7. H

    Makonda aenda likizo Afrika Kusini kwa zaidi ya miezi miwili

    Mbona Luhende aliyesemekana ni manager wa Hotel Magufuli alimwamuru aoneshe vyeti vyake alivyomteua kuwa Mkurugenzi. Mbona kwa huyu inakuwa ngumu? Hapa kuna jambo tu.
  8. H

    Nkem Owoh (Osuofia)

    Anakupanga mpaka uingie mjini
  9. H

    Nkem Owoh (Osuofia)

    Halafu ni tapeli wa kupindukia
  10. H

    Tujuzane kiendeleacho Kigamboni new city

    Yule mama Tibaijuka kashachukua mgao wake kawaacha watu solemba.
  11. H

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    .....Atakuwa amejifunza tu...kwamba Tanzania...hasa Dar es salaam hakuhitaji sana kiherehere....Waliofika Dar wakati kibao cha 'KARIBU DAR ES SALAAM' kipo Magomeni wanalielewa hili jambo....
Back
Top Bottom