Shukran kaka kwa thread yenye kutoa mwanga kwa ndugu zako wa Tanzania. Tukiwa na moyo ulionao kwa hakika tutafika mbali. TEAM (T-ogether E-veryone A-chieve M-ore)
Hata Luhende aliesemekana anafanya kazi kama Manager wa Hotel Sinza alivyoteuliwa na Raisi kuwa Mkurugenzi alionesha vyeti vyake kukanusha kuwa yeye sie huyo Manager wa Hotel Sinza tena Raisi alimwambia waoneshe Masters yako waione. Sasa mbona kwa huyu inakuwa ngumu kuonesha kuna nini hapa.
Mbona Luhende aliyesemekana ni manager wa Hotel Magufuli alimwamuru aoneshe vyeti vyake alivyomteua kuwa Mkurugenzi. Mbona kwa huyu inakuwa ngumu? Hapa kuna jambo tu.
.....Atakuwa amejifunza tu...kwamba Tanzania...hasa Dar es salaam hakuhitaji sana kiherehere....Waliofika Dar wakati kibao cha 'KARIBU DAR ES SALAAM' kipo Magomeni wanalielewa hili jambo....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.