e nkwasi
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 381
- 283
Bado sioni tatizo hapo, social media bado imekua ni quick and reliable source of information ambapo hata serikali yenyewe inatupa jicho hapo ref: (issue ya mwl Msigwa kumpiga mwanafunzi kule Mbeya).
Sasa Bwana kafulila kweli kafulia. Mbunge kabisa anasema kiongozi wa serikali aje insta au jf kuonyesha vyeti. Du. Hii kali. Siasa is really a dirty game. Angeenda yeye Necta kureport au mahakamani nk. Lakini kuja mitandaoni. Mhhhh. Sio kosa lake ni akili zake nyingi kujua wtz wengi ni tunatumika bila kujua tunaowatumkia wanapiga cheers kila siku.