As vita + Tp Mazembe + Yanga

Hawana jipya tena. Hawakuwaita wachezaji wazuri wanaostahili. Mputu yule mzee. Tatizo wana uteam nimegundua bora mtu afundishe team ya taifa peke yake kuliko kufundisha both national team na local kwa wakati mmoja.
Sisi waTz kwa ujuaji hatujambo
 
Back
Top Bottom