Hawana jipya tena. Hawakuwaita wachezaji wazuri wanaostahili. Mputu yule mzee. Tatizo wana uteam nimegundua bora mtu afundishe team ya taifa peke yake kuliko kufundisha both national team na local kwa wakati mmoja.Zahera na Ibenge watafukuzwa
KumbeMwinyi Zahera kashapasuka huko na Congo yake hakuna cha Matambi wala makoronya
Patrick Aussems, Okwi na Juuko wanaendeleaje huko AFCON?dakika 90 ndo mwamuz kwan ulitegemea mafarao kufa? au umewachukuliaje Madagasca?
Sisi waTz kwa ujuaji hatujamboHawana jipya tena. Hawakuwaita wachezaji wazuri wanaostahili. Mputu yule mzee. Tatizo wana uteam nimegundua bora mtu afundishe team ya taifa peke yake kuliko kufundisha both national team na local kwa wakati mmoja.
Mbumbumbu ningumu kutofautisha hilo mkuuKuna wakati Mwinyi Zahera anasimama peke yake na Yanga Peke Yake.
Sio kila aliko Mwinyi Zahera na Yanga ipo.
Kumbuka Mwinyi zahera aliikuta Yanga na ataiacha,
Congo watapita njia nyeupeee kabisa,sioni Madagascar akimtoa DRCKwa taarifa yako, Waganda na Mafarao safari yao imeishia 16. Kongo DRC watapita next stage mark my words.
Jamaa unaona mbali!Kwa taarifa yako, Waganda na Mafarao safari yao imeishia 16. Kongo DRC watapita next stage mark my words.