Recent content by Hache

  1. H

    Wabunge kumng'oa Spika Anne Makinda?

    sidhani
  2. H

    Opinion; Upinzani Wekezeni hapa

    aisee unamtakia baba wa watu kifo cha ukweliii, lakini hata mimi ningefurahi kuona anafufuka tumalize zogo.
  3. H

    CCM Kufa ifikapo 2020

    mi naona kuanzia 2016 watakua chama kikuu cha upinzani kama cuf na nccr wakiwaachia nafasi.
  4. H

    Honeymoon

    alienda honey moon au nyumba ndogo?
  5. H

    Huyu ndiye Traffic anayehitajika D'Salaam

    mmh huyu afande noma, akirudi nyumbani si anakua hoi?
  6. H

    Yaliyonikuta Leo

    pole sana, hata dada yangu yalishamkuta, kariakoo mitaa ya ndani ndani kule, wabaya sana wanajua kabisa ni uongo lakini watu wanashupalia umpeleke hosp. ilibidi amtoe na kitu kidogo. shida bana
  7. H

    Swali lisilojibiwa: Ndege ya Qatar iliwezaje kutua KIA?

    mmh naogopa! usalama wa taifa wanakazi nzito hapo, labda waliwekewa madawa ya kulevya au nusu kaputi, haiingi akilini hata kidogo. kwa hili TZ tumelala mlango wazi, mweeeee.
  8. H

    Wabunge CCM Wasema Mukama anachemka

    yaani hiyo red ni ruka mkojo kanyaga .....vi
  9. H

    Watanzania wanapenda BODABODA-JK

    hapo kwenye red mi huwa najiuliza hilo swali kila siku nikisikia kuhusu hizo pikipiki, na je siku za mvua zitaweza kutumika kweli? si ndio mwanzo wa kuwaangusha wamama wa watu kwenye matope jamani.
  10. H

    Mafisadi CCM wageuka mbogo

    Langu jicho na sikio
  11. H

    Dr. Slaa na Mbowe ndio wanaiua CHADEMA

    ulitumwa wapi ukakosea njia?
  12. H

    Ukikutana na kikwete, utamshauri nini?

    1. "akili zake achanganye na za viongozi waadilifu walioko chini yake, aachane na za mbayuwayu". 2. Achukue ushauri wowote mzuri aufanyie kazi hata kama unatoka kwa wapinzani wake 3. Akiona moshi ajue kuna moto na dalili ya mvua ni mawingu, ajipange sawa sawa, asome alama za nyakati.
  13. H

    Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

    poleni wanafamilia ya mzee yahaya. Mikoba hiyoooo mhangaike nayo, yeye kamalizana nayo.
  14. H

    Where is CUF?

    waulize wana magamba ndio wanahabari zao, si wamekua wamoja.
Back
Top Bottom