Hii kiboko kwa dar huyu hafai aisee maana atasababisha foleni sana watu watakuwa hawatembezi magari watakuwa wanataka kuona tu hii burudani ya trafiki na kucheka hahahaha, amenichekesha sana ila anaonekana anafanya sana mazoezi duh, ila hawa wa kwetu na vitambi vyao wataweza kweli hii kitu?
sana tuu, hata kuna mmoja mara nyingine anakuwa pale akiba- kitegauchumi, huwa naenjoy sana kumuona huwa natamani achelewe kuturuhusu ili nione vitimbi vyake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.