Hamna shaka watanzania badowana mapenzi ya dhatikwa raisi mstaafu Mkapa, pamoja na matatizo yake yote katika utawala wake ,alijipambanua kama kiongozi jasiri,sio mnafiki aliyekuwa na vision ya dhati ya kujenga Tanzania, tulikuwa bado tumhitaji MKAPA.
Vonix nakupa 100% kaudokozi kamemshusha hadhi sana huyu chingasafi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!public enemy no.1 miaka mitano ya mwanzo aaaaaaah,alifanya vizuri lakini ile mitano ya mwisho wenye akili za kifisadi walimvaa wakamsomesha wakimsadikisha kuwa atatoka masikini baada ya miaka yake mitano kumalizika akakubali tabia ikabadilika kabisa akawa mjeuri,kiburi kingi,majibai,mkaidi vitisho etc.Bora kama bado unamhitaji basi awe raisi wako nyumbani kwako.:dance:
Hamna shaka watanzania badowana mapenzi ya dhatikwa raisi mstaafu Mkapa, pamoja na matatizo yake yote katika utawala wake ,alijipambanua kama kiongozi jasiri,sio mnafiki aliyekuwa na vision ya dhati ya kujenga Tanzania, tulikuwa bado tumhitaji MKAPA.
Kinachotutesa hapa sio mtu au watu; ni mfumo uliochakaa wa CCM. Muhimu ni kwamba watanzania tulipaswa kuwa tumeshaifukuza CCM jana sio leo. [