hivi majuzi rais wetu alisema eti watanzania wanapenda sana bodaboda.
swali langu ni hili>
Hivi kweli raisi wa nchi hajui kwanini watanzania wanatumia usafiri wa bodaboda?
hivi ndio sababu iliyopelekea rais kununua bodaboda kwa ajili ya usafiri wa wagonjwa?
mpaka sasa bodaboda zinaongoza kwa vifo vya watanzania wengi kila siku je hili rais halioni?
swali langu ni hili>
Hivi kweli raisi wa nchi hajui kwanini watanzania wanatumia usafiri wa bodaboda?
hivi ndio sababu iliyopelekea rais kununua bodaboda kwa ajili ya usafiri wa wagonjwa?
mpaka sasa bodaboda zinaongoza kwa vifo vya watanzania wengi kila siku je hili rais halioni?