Pole sana mkuu, ila ningekuwa mimi ningemuondoa na vibao mpaka angesahau jinsia yake. Hana haya huyo mzee, ni mwivi tu huyo.
Una bahati haukuibiwa maana ndo mbinu zao hizo... mmoja anajifanya kukusemesha kwenye kesi huku upande mwingine wengine wanafanya vitu vyaoNikiwa naendesha kariakoo kaja mwanaume wa makamo hivi namuona makusudi anajigongesha kwenye kioo
cha gari cha pembeni.
Mie nikasimama mara anadai nimpeleke hospital kaumia nikamwambia umeumia wapi na gari haikuwa kasi sanasana umegusa kioo .
Kashupaa nimpeleke hospital au nimpe pesa akatibiwe.
Nikampa 10,000.00 ili yaishe bwana wee nimeenda kupaki nazunguka kariakoo na kutana naye anadunda swafi kabisa!
Jamani hali ya uchumi hii itatupeleka pabaya mtu mzima kama yeye nimesikitika sana.
so ukiwa kariakoo uwe mwangalifu sana.
Watu wanabuni njia mbalimbali za kujipatia pesa kiurahisi.
Nikiwa naendesha kariakoo kaja mwanaume wa makamo hivi namuona makusudi anajigongesha kwenye kioo
cha gari cha pembeni.
Mie nikasimama mara anadai nimpeleke hospital kaumia nikamwambia umeumia wapi na gari haikuwa kasi sanasana umegusa kioo .
Kashupaa nimpeleke hospital au nimpe pesa akatibiwe.
Nikampa 10,000.00 ili yaishe bwana wee nimeenda kupaki nazunguka kariakoo na kutana naye anadunda swafi kabisa!
Jamani hali ya uchumi hii itatupeleka pabaya mtu mzima kama yeye nimesikitika sana.
so ukiwa kariakoo uwe mwangalifu sana.
Watu wanabuni njia mbalimbali za kujipatia pesa kiurahisi.
Mi ningemshukia na bonge la panga' kudadeki angenitambua.
Si ukali, ila sipendi kulea upuuzi upuuzi kama huu, nakuhakikishia angepata vibao sita mfurulizo, arudii tena upuuzi wake...! Mtu mzima anajidharirisha tu.Kumbe ustaadhi wewe ni mkali sana!
Lol...Nikiwa naendesha kariakoo kaja mwanaume wa makamo hivi namuona makusudi anajigongesha kwenye kioo
cha gari cha pembeni.
Mie nikasimama mara anadai nimpeleke hospital kaumia nikamwambia umeumia wapi na gari haikuwa kasi sanasana umegusa kioo .
Kashupaa nimpeleke hospital au nimpe pesa akatibiwe.
Nikampa 10,000.00 ili yaishe bwana wee nimeenda kupaki nazunguka kariakoo na kutana naye anadunda swafi kabisa!
Jamani hali ya uchumi hii itatupeleka pabaya mtu mzima kama yeye nimesikitika sana.
so ukiwa kariakoo uwe mwangalifu sana.
Watu wanabuni njia mbalimbali za kujipatia pesa kiurahisi.
hahaha pole mkuu .... Kuna signature ya mdau flani ni one of my Fev inasema hivi "MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO" uwezo wa kubuni njia za kutuingizia kipato ni mdogo sana....