Recent content by Guy Isaac

  1. Guy Isaac

    Biashara ya Restaurant/ Mgahawa Kahama

    Hauko serious man,, yaan uko dar unataka kujua biashara ya mgahawa kahama iko vipi!? Nenda kafanya research physically mzee wangu usisikilize maneno ya watu
  2. Guy Isaac

    Natafuta kampuni ya kunikopesha bajaji

    Jamani mimi natafta wanaokopesha pikipiki tu
  3. Guy Isaac

    Naomba kuuliza vijana wenzangu kati ya kilimo na kubeti bora nini?

    Kamanda binafsi sibeti but ukisema kubeti ni upuuzi hpo utakuwa umekosea sana....kuna watu wanaendesha sehm ya maisha yao kwenye kubeti.....kiufupi kubeti ni mchezo Kama michezo mingne like playing pool table ,draft games and other games related...mila mtu anaendsha maisha yake kwa namna yy...
  4. Guy Isaac

    Naomba kufahamu zaidi kuhusu DSE kiganjani

    Hello guys, Hope wote ni wazima, naomba niende direct kwnye mada tajwa hapo juu,, wapendwa natamani sana kuwekeza DSE but sina knowledge yakutosha hivyo nimekuja kwenu kuomba msaada wa kuelekezwa zaidi. Jinsi gani unanufaika na ununuzi wa hisa kwnye makampuni? Kingine na cha muhimu zaidi...
  5. Guy Isaac

    Kazi ya Uwakala wa M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money inaingizaje pesa?

    Mkuu ndo kwanza j3 ya kesho kutwa naanza hii kazi ,, nimeogopa sana kuona kamishen zinazolipwa na hizi mitandao yetu aise
  6. Guy Isaac

    Bongo kuna MC mkali kama huyu kweli?

    Hapo tu ndo ulipofail ndg yngu ,,hutakiw kumkubal mtu kwa kuwa anapnda kitu unachokipnda ww
  7. Guy Isaac

    Amechaguliwa vyuo viwili aende wapi??

    Ooh!!angalia ubora wa chuo ,usiangalie kwann wngne wanasa pale ,sawa mkurungez?
  8. Guy Isaac

    Amechaguliwa vyuo viwili aende wapi??

    Hmna bora hapo kati ya hvyo ulivyovitaja,kwa ushauri wangu befr hajafny confirmation ni bora akareapply vyuo vngn but if kuna 3rd round afnye hvyo mapema
  9. Guy Isaac

    Peniela (Story ya kijasusi)

    Mkuu mm nimesom mpk nimechok embu nambie in briefly iliixhia wap maana nilichele w sana kuisoma
  10. Guy Isaac

    Naomba kufahamishwa admission points za kujiunga na Degree ya Pili (masters)

    Wapendwa katika bwana, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili nasoma Degree ya Business Administration nina mpango wa kusoma mpaka ngazi ya Masters nikihitimu Degree yangu ya kwanza hivyo naomba msaada wenu juu ya qualification zipi zitakazonifnya...
  11. Guy Isaac

    Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

    Dah!!nipe connection mammy !!mimi pia nataman kufika ughaibuni huko
  12. Guy Isaac

    Duh! Ila wanyaturu ni warembo mpaka basi

    Nenda mikoa yao mzeh utawapata wako wengi sana
  13. Guy Isaac

    Wamachinga: Tuko tayari kuandamana 2025 Rais aendelee kubaki madarakani

    Katiba ya Tz inasemaje mkuu? Naheshimu sana maoni yako.
Back
Top Bottom