Hauko serious man,, yaan uko dar unataka kujua biashara ya mgahawa kahama iko vipi!?
Nenda kafanya research physically mzee wangu usisikilize maneno ya watu
Kamanda binafsi sibeti but ukisema kubeti ni upuuzi hpo utakuwa umekosea sana....kuna watu wanaendesha sehm ya maisha yao kwenye kubeti.....kiufupi kubeti ni mchezo Kama michezo mingne like playing pool table ,draft games and other games related...mila mtu anaendsha maisha yake kwa namna yy...
Hello guys,
Hope wote ni wazima, naomba niende direct kwnye mada tajwa hapo juu,, wapendwa natamani sana kuwekeza DSE but sina knowledge yakutosha hivyo nimekuja kwenu kuomba msaada wa kuelekezwa zaidi.
Jinsi gani unanufaika na ununuzi wa hisa kwnye makampuni?
Kingine na cha muhimu zaidi...
Hmna bora hapo kati ya hvyo ulivyovitaja,kwa ushauri wangu befr hajafny confirmation ni bora akareapply vyuo vngn but if kuna 3rd round afnye hvyo mapema
Wapendwa katika bwana, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili nasoma Degree ya Business Administration nina mpango wa kusoma mpaka ngazi ya Masters nikihitimu Degree yangu ya kwanza hivyo naomba msaada wenu juu ya qualification zipi zitakazonifnya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.