Kuna sehemu watu hawali chakula?Niko Dar, nataka kujua biashara ya mgahawa KAHAMA ikoje?
Wateja wapo wa kutosha?
😂😂😂Hakuna sehemu watu wasipokula kweli, kikubwa ahakikisge huduma zake ziko vizuri na usafiKuna sehemu watu hawali chakula?
Niko Dar, nataka kujua biashara ya mgahawa KAHAMA ikoje?
Wateja wapo wa kutosha?
Hauko serious man,, yaan uko dar unataka kujua biashara ya mgahawa kahama iko vipi!?Niko Dar, nataka kujua biashara ya mgahawa KAHAMA ikoje?
Wateja wapo wa kutosha?