acha kupotosha wewe hood haikuwa katka mwendo kasi na wala haikuovateki gali yeyote pale ilikuwa ktk mwendo wa kawaida na kukatika kitu flani wanaita syrinder bolit na kuanguka na hakuna majeruhi wala marehem ila abilia baadhi wamemwagikiwa na oil ya gali hilo
Hapo kinachotakiwa ni kuwapa elimu watoto zetu kuhusu madhara ya ushoga. na wazazi tunatakiwa tuwe wawazi ktk familia zetu,na nadhan huwezi kumwambia mvuta bangi kwa ghafla aache kuvuta bangi utkuwa unapoteza muda ni sawa na hawa mashoga mnavyowapiga,kuwachoma moto na kuupinga ushoga mnakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.