ushoga ni kinyume na akili za kibinadamu.wanyama,ndege na wadudu hawafanyi!Kwa yeyote aliyezaliwa na baba (mwanaume)na mama(mwanaume) na awe wakwanza kudai haki ya kuzaliwanayo,ushoga.
ushoga ni jambo asilia ambalo huwa linajitokeza kwa mtu yoyote wa mahali popote, ama liwe limejitokeza genetically ama mtu kuona anavutiwa nao na kuanza kuwa shoga, hizo ndizo sababu kubwa za ushoga kwa binadamu.
Lakini pia hata kwa wanyama ushoga pia upo yaani pundamilia, simba, nyani( hasa kwa jamii ya bonubu), twiga na wanyama wengi wengineo.
ushoga kwa wanyama udhihirika pale ambapo midume inapandana ama majike yanaposagana ambapo kuna uwepo wa jinsia tofauti na yake, lakini huamua kulala na jinsia fanani hivyo hufanyika kuwa ni tabia ya kishoga.