Ajali basi la Hood

Ajali basi la Hood

hizi ajali zinatumaliza Watanzania!!

Mamlaka husika ichukue Tahadhari mapema!!
 
Poleni wote mlioathirika na mkasa huo.
As a declaration of interest nina ndugu zangu ambao wanasafiri kesho(Jumatano) kutoka Mbeya kuja Arusha kwaajili ya kumposa binti hapa Arusha.
Mungu wa Israel, epushia mbali ajali hizi, roho ya ajali na vifo ishindwe katika jina lipitalo majina yote!...
Hawa ndugu zangu na wasafiri wengine wote wafike salama na kutimiza azima yao!
 
Mmh!! unamaanisha ni hapo juu kabisa ukiwa unakaribia Uyole?

Kwa nilivyomuelewa itakua ni huku kama unatoka uyole unaelekea igurusi pale mbele kwenye kibwawa na wanauza miwa ila sio inyala pale.
 
linaweza kuwa kosa kisheria kama ume-overtake sehemu isiyoruhusiwa......au umeo-overtake bila kuzingatia usalama kulingana na mazingira[kosa la uzembe]

Kuovertake ni kosa?!!!!!?!??!

au mpaka itegemee, ikiwa ni hivyo basi useme kuovertake sii kosa kisheria.
 
Basi la kampuni ya Hood limepata ajali baada ya kupiga mweleka Inyala Mbeya kutokana na mwendo kasi mkubwa na overtaking.

=====

acha kupotosha wewe hood haikuwa katka mwendo kasi na wala haikuovateki gali yeyote pale ilikuwa ktk mwendo wa kawaida na kukatika kitu flani wanaita syrinder bolit na kuanguka na hakuna majeruhi wala marehem ila abilia baadhi wamemwagikiwa na oil ya gali hilo
 
acha kupotosha wewe hood haikuwa katka mwendo kasi na wala haikuovateki gali yeyote pale ilikuwa ktk mwendo wa kawaida na kukatika kitu flani wanaita syrinder bolit na kuanguka na hakuna majeruhi wala marehem ila abilia baadhi wamemwagikiwa na oil ya gali hilo

ndio nini hiki?
 
Kuovertake ni kosa?!!!!!?!??!

au mpaka itegemee, ikiwa ni hivyo basi useme kuovertake sii kosa kisheria.

go back and read my post again. make sure u understand.
 
hizi ajali zinatumaliza Watanzania!!

Mamlaka husika ichukue Tahadhari mapema!!

Huwezi kuepuka ajali wewe!! Tairi liki bust ukiwa kwenye motion utaliziba likiwa kwenye mwendo? Usiogope kufa kijana!
 
waandishi wa magazeti washahongwa ...kesho hutoona hizi taarifa
 
go back and read my post again. make sure u understand.

nini nia yako kuandika kwa kimombo, kwani tunagombea ubunge wa afrika mashariki hapa!!!!!!!!

nielewe swali langu usikurupuke kudhani sijasoma ulichoandika.
 
Back
Top Bottom