Recent content by gusagusa

  1. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Utasababisha wengine wasile kwa matangazo yako
  2. G

    JamiiForums Tanzania Hii Taaluma kwa Awamu hii imekuwa very risk kujihusisha nayo

    Kweli kabisa..kuna ndugu yangu mhasibu kamaliza mwezi kizuizini!
  3. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Honestly, wanawake WEUSI hamtamanishi kitandani

    Weupe mchafu wa amber rutty haukusababisha video i hit kilichosababisha ni kuonekana kwa vitendea kazi bila kupepesa macho na ukubwa wa mkuyenge ya yule dogo
  4. G

    JamiiForums Tanzania Mbeya manispaa oneni hili

    Pale biashara inasua sua pamj na kodi kuwa juu..kwa kifuph watu wanapaogopa wanajua gharama ni kubwa
  5. G

    JamiiForums Tanzania Maeneo ya Dar yasiyo na joto sana

    Kibugumo kigamboni
  6. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watoto kulia usiku

    Watoto wanalia usiku kwanza wengi hua chini ya miezi 3 ambao huwa wanashindwa kutofautisha usiku na mchana ndio mana wengi hulala mchana na usiku kuwa macho. Sababu nyingine ni kutoshiba au hata kutaka attention kama kubebwa au kuwa cuddled. Baada ya 3 mnths wanapunguzaga matatizo na kulia
  7. G

    JamiiForums Tanzania Ni usafiri gani bora wa basi Mbeya - Dar?

    Dar lux 44000 Sauli 44000 New force 40000 Talent 40000 kwa 60000 VIP
  8. G

    JamiiForums Tanzania Unajua kwanini Zanzbar marufuku mchezo wa ngumi?

    Wazanzibari bana..
  9. G

    JamiiForums Tanzania Sababu ni ipi jiji la Mbeya kukosa show za wasanii?

    To be honest mbeya hakuna club ya maana..unaweza kupita kwenye pub au bar mbili tatu mwisho wa siku woote mnakuja kukutana city pub lounge
  10. G

    JamiiForums Tanzania Nitajieni basi zuri la Dar-Mbeya

    DarLux is the best..
  11. G

    JamiiForums Tanzania Panya Road wavamia maeneo ya Magomeni, Mwananyamala na Kinondoni jijini Dar

    Mwenge kimenuka mbaya maduka yamefungwa..mimi nimeskia kelele tu nikiwa ndani nikajua watu wanashangilia mpira au labda harusi
  12. G

    JamiiForums Tanzania Inauma sana lakini Lakuvunda halina ubani

    Too bad..too sad poleni
Back
Top Bottom