Ilasi ndo mwendokasi au new force...hizo gari ndo za kwanza kufika....
Keshokutwa nategemea kwenda Mbeya kikazi na nitakuwepo pale kwa siku 5. Sijawahi kufika kabisa nyada za juu kusini, naombeni mnitajie basi zuri na linalokimbia sana ili niwahi kufika jijini Mbeya mapema. Karibuni mtiririke wadau...
Kuna
network
Nganga
Superfeo
Shabibi
Abood
Rungwe
Kwa speed ni superfeo na nganga
Ipo ya mbeya dar ipo dar songea ipo dar tunduma ipo mbeya arusha