BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,489
Nikiwa mmoja kati ya watu walioguswa(in a negative way) na maamuzi ya mkuu Stone yaliyonipelekea kutokuwa sawa economically na pyschlogically napenda kuwaatarifu na pia kutoa tahadhari kwa wale wote wanaojihusisha na hii taaluma na si nyingine bali ni Uhasibu sitaki kusema mengi ila tukiachana na wale wanaoshikiliwa kwa sababu za kisiasa wahanga wanaofutaia ni waHasibu nimeona wengi wakiwepo ndugu na marafiki wakipewa kesi za uhujumu uchumi na kuna baadhi hii Christmas wameisherekea rumande na pia trend inavyoonyesha mwaka mpya wanaupokelea hukohuko.
Narudia tena Wahasibu kuweni makini na taaluma yenu.
Narudia tena Wahasibu kuweni makini na taaluma yenu.