Kuna basi jipya linaitwa ndege mkuu??Ndege
SauliMorning.
Nauliza kwa sasa basi gani ni bora zaidi kufanya nalo safari ya Mbeya -Dar. Na nauli yake ni kiasi gani?
Tumia SAULI LUXURY mkuu. Ipo vema Sana nauli yake Ni elfu 44,000/=Morning.
Nauliza kwa sasa basi gani ni bora zaidi kufanya nalo safari ya Mbeya -Dar. Na nauli yake ni kiasi gani?
Unanibishia mi nimepandisha watu sana hapo gerezani dar-mbeya.Mbeya to Dar
sio Dar to Mbeya.
Vip New force wana charging system?
Jangwani! Mbeya iko sehemu inaitwa Jangwani?Nenda jangwani chukua fuso bei nafuu kinoma
Gerezani ya Mbeya iko Luanda au Kawetere?Nenda gerezani jioni buku 20 tu double Coaster hakuna kulala zinachomoka sa 2 usiku asb 12 uko Mbeya mwendo usiulize piga vidonge vya usingizi kula ushibe twende kazi.
Sawa, lakini haujawahi kupandisha watu Mbeya to Dar. na inawezekana hata Mbeya haujawahi kufika.Unanibishia mi nimepandisha watu sana hapo gerezani dar-mbeya.