Recent content by Gudasta

  1. Gudasta

    Gari unazoweza kukuta ni namba E alafu mmiliki wake anatafuta mteja hata kwa bei chee na bado watu wanaikimbia

    Zina shida gani? Na vp kuhusu murano..maana naona zimepungua sana barabarani
  2. Gudasta

    Mwanamuziki J cole kuachia album yake ya The fall off siku ya kesho

    Namkubali sana huyu rapper....kuna ngoma yake yuko na Nas inaitwa "Let Nas Down "(Remix) hii ngoma ni noma.
  3. Gudasta

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Pumbavu kabisa, acha kujishaua wewe kabunya, kwa hiyo ukitembea mitaani huoni nyumba zina madishi?dstv au azam n.k, unafikiri wameweka urembo
  4. Gudasta

    Rais Trump amnyooshea mfanyakazi wa kiwanda cha Ford River Rouge kidole cha kati

    Kwahiyo Trump ndio alilianziasha mbinguni akatupwa duniani, kwa hiyo mzee mzima llong time sana hapa duniani
  5. Gudasta

    Trump ataka Bajeti ya kijeshi ya $1.5 Trillion mwaka 2027, kutoka $901 Bilioni mwaka 2026

    Bingwa hujui hesabu kabisa yaani 1.5 USd trilioni ni sawa na tzs 3.6 trilioni? Huko serious kweli au umekuja kuchekesha watu
  6. Gudasta

    Naombeni ushauri kuhusu kumuoa huyu binti

    Wewe jamaa huna tofauti na kabombonya.....
  7. Gudasta

    Leo nimekumbuka hii stori nikasikitika sana

    Alielewa anisaidie kuelewa....
Back
Top Bottom