Recent content by great 2012

  1. G

    Amini usiamini, CCM ina jukumu la kutupatia Rais bora mwaka 2015...

    Hiyo chance ya kutupatia rais wataipata wapi? Wakati maandamano yakumg'oa ****** yanakuja hata kabla ya 2015? Na ikishindikana itakuwa full kudelete wala rushwa wapiga deal na mafisadi wanaotumia bunge kama sehemu ya kujipatia chakula.
  2. G

    Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

    Mahakama si ndio sehemu yao ya kukimbilia, kweli jk dhaifu na ccm ni uozo mtupu badala ya kushughulikia madai ya walimu wanakimbilia mahakamani? Kama noma na iwe noma..............!!!!mgomo pale pale
  3. G

    CHADEMA yaitesa CCM Mbeya

    Kama vip chama cha mafisadi (ccm) si mpeleke pingamizi mahakamani maanake ndio zenu
  4. G

    kina kaka naombeni majibu....(hata kinadada changieni)

    To me, kupika Chakula kitamu ni moja ya sifa ambazo napenda MKE WANGU awe nazo, Na kwa bahati mbaya wasichana wengi wa kizazi CHA MASHAROBALO NA MASHAROSISTER wengi wao wanajua tu KUJIPIKILISHA. So kama na wewe ni wa kizazi hiki jua IMEKULA KWAKO
  5. G

    Sherehe kubwa ya Dk Slaa; Nilidhani CHADEMA ni watu wenye utu...

    VI ELFU KUMI UNAVYOPEWA NA nape VITAKUKOSTI WEWE
  6. G

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    Daaah!!! Jamani milioni 10 zangu ndo imekula kwangu mimi ama kweli liwalo na liwe
  7. G

    Jeshi la Polisi lipongezwe kwa kazi nzuri kwa Dk. Ulimboka ~ Nicholaus Mgaya

    watu wanaoitwa usalama wa taifa a.k.a walinda mafisadi mission zao ni nouma, wanachofanya ni kutuzuga tu eti tuone kuwa serikali haihusiki, kwani huyo mkenya kwanini alimteka dr ulimboka kama sio serikali ilimkodi? au KOVA atutajie mtu aliyemleta huyo GAIDI.
  8. G

    hivi wanaume mna roho za aina gani

    kabla hajasepa zake mwambie amuulize huyo men wake kuwa ni kwanini amemuacha na anampenda zaidi X-GF, i think huyo rafiki yako atakuwa anaudhaifu ambao jamaa ameshindwa kumvumilia, mhoji rafiki yako akwambie ukweli juu ya mahusiano yako, tunaweza kuwa tunamhukumu jamaa kumbe mwanamke ndio mwenye...
  9. G

    Jeshi la Polisi lipongezwe kwa kazi nzuri kwa Dk. Ulimboka ~ Nicholaus Mgaya

    huwezi kuibadili rangi ya kijani kuwa njano, msaliti ni msaliti tu hata avae ngozi ya kondoo
  10. G

    Nchemba tena - bungeni; adai kutishiwa kuuwawa na wabunge wa CHADEMA

    Anatapa tapa hajui atendalo, nchemba auawe kwa kipi hasa alicho nacho!!!! Au ndio mpango wa kuzima suala la dr. Ulimboka kidesign?
  11. G

    Nchemba tena - bungeni; adai kutishiwa kuuwawa na wabunge wa CHADEMA

    Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa iramba ameomba mwongozo wa eti bunge lisitishe huduma za leo bungeni ili wajadili kifo cha yule mfuasi wa CCM aliyeuwawa huko Iramba, Nchemba wewe ndio wa kulaumiwa kwani tunajua fika kuwa wewe ni GAIDI na ugaidi wako umejionyesha kwa kuwalipa vijana posho...
  12. G

    CHADEMA yaisambaratisha CCM Chato

    what goes around comes around, ccm kwishney
  13. G

    Sijui nifanyeje wanajukwaa

    Asanteni sana wanajukwaa kwa ushauri wenu mlionipa na Mungu awabariki sana
Back
Top Bottom