Hiyo chance ya kutupatia rais wataipata wapi? Wakati maandamano yakumg'oa ****** yanakuja hata kabla ya 2015? Na ikishindikana itakuwa full kudelete wala rushwa wapiga deal na mafisadi wanaotumia bunge kama sehemu ya kujipatia chakula.
Mahakama si ndio sehemu yao ya kukimbilia, kweli jk dhaifu na ccm ni uozo mtupu badala ya kushughulikia madai ya walimu wanakimbilia mahakamani? Kama noma na iwe noma..............!!!!mgomo pale pale
To me, kupika Chakula kitamu ni moja ya sifa ambazo napenda MKE WANGU awe nazo, Na kwa bahati mbaya wasichana wengi wa kizazi CHA MASHAROBALO NA MASHAROSISTER wengi wao wanajua tu KUJIPIKILISHA. So kama na wewe ni wa kizazi hiki jua IMEKULA KWAKO
watu wanaoitwa usalama wa taifa a.k.a walinda mafisadi mission zao ni nouma, wanachofanya ni kutuzuga tu eti tuone kuwa serikali haihusiki, kwani huyo mkenya kwanini alimteka dr ulimboka kama sio serikali ilimkodi? au KOVA atutajie mtu aliyemleta huyo GAIDI.
kabla hajasepa zake mwambie amuulize huyo men wake kuwa ni kwanini amemuacha na anampenda zaidi X-GF, i think huyo rafiki yako atakuwa anaudhaifu ambao jamaa ameshindwa kumvumilia, mhoji rafiki yako akwambie ukweli juu ya mahusiano yako, tunaweza kuwa tunamhukumu jamaa kumbe mwanamke ndio mwenye...
Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa iramba ameomba mwongozo wa eti bunge lisitishe huduma za leo bungeni ili wajadili kifo cha yule mfuasi wa CCM aliyeuwawa huko Iramba, Nchemba wewe ndio wa kulaumiwa kwani tunajua fika kuwa wewe ni GAIDI na ugaidi wako umejionyesha kwa kuwalipa vijana posho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.