Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Kwanini Ikulu imejibu haraka lakini wakakaa kimyaa kwenye mgomo wa madaktari? Na iwejue Ikulu ndio itoe tamko na sio wizara ya Elimu? Dr Shukuru Kawambwa yuko wapi?
Nchi hii huijui mkuu!!,ikulu ndo kila kitu, hadi kuzindua gereji ya kampuni binafsi,hii ndo maana ya serikali SIKIVU!