Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,155
- 441
.,habari zenu wana jf. nauliza kina kaka mkiacha kuangalia tabia, muonekano nk. kwa msichana, je ufundi wa mapishi jikoni huwa mnatilia maanani? au mnatizama sura tu, makalio na guu la bia
Asikudanganye mtu, mapishi yanachukua nafasi ya kwanza (for me). Hakuna kitu kinaboa kama upo na mdada mrembo haswa, figure kali, sura, miguu n.k Halafu wakati wa mambo flan hatoi hata ushirikiano i.e hata kupapasa ni tabu achilia mbali kuzungusha nyonga kwa utaratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu!
Mara nyingi wanabweteka na appearances zao. Lakini ukweli hakuna kitu kinachofurahisha kama kujisikia umeridhika kimapenzi, achilia mbali sura, umbo au rangi ya aliyeufikisha mtima wako.
So I am in support of service that I get and nothing else!