nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Magaidi ndo tunawafaa wanaume kama nyie!
Wewe unaushauri mbaya sana. Unaonekana mwanamke gaidi kwanza. Yaani hata jina lako limekaa kishari shari tu. Mungu niepushe na mke kama huyu. Au hujui? Ndani ya ndoa kunatakiwa kuwe na uvumilivu. Mwambie avumilie na amuombe mungu atamsaidia.