Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Liwalo na liwe ndoa lazima ifungwe leo.
Mnaolalamika ni wachovu wa kufikiri na msiojua taratibu, mila na desturi.
Kwanza maombolezo ya kitaifa ya siku tatu yameisha sasa hapa nini cha ajabu? Kwetu anafariki mwanafamilia siku moja hadi tatu kabla ya harusi lakini shughuli inaendelea kama kawaida.
Hii tabia ya watumwa wa lumumba kuokoteza visababu vya kumchafua Dr. Slaa haitawafikisha popote zaidi ya kuwatia aibu.
Mnaolalamika ni wachovu wa kufikiri na msiojua taratibu, mila na desturi.
Kwanza maombolezo ya kitaifa ya siku tatu yameisha sasa hapa nini cha ajabu? Kwetu anafariki mwanafamilia siku moja hadi tatu kabla ya harusi lakini shughuli inaendelea kama kawaida.
Hii tabia ya watumwa wa lumumba kuokoteza visababu vya kumchafua Dr. Slaa haitawafikisha popote zaidi ya kuwatia aibu.