Tukubali,, Tanzania kuongeza Mishahara kwa asilimia 23%,, kwa Wafanyakazi wote ni ndoto za Abunuasi. Hapo kilichowekwa wazi ni Benchmark ya kima cha chini tu tu kwamba ni 23%,, hii statement '' ikiwemo kima cha chini kwa asilimia 23" muielewe vizuri. Yani hapo kila scale ina percent yake sema...
Habari zenu wataalam, kwa kifupi Mimi kwa level ya bachelor nilisoma Economics ila napenda sana niwe na CPA na ninataka january nianze kujifua kwa ajili ya mitihani ya mwezi mei. nimeangalia gharama za Review class pale CBE kwa level ya foundation (masomo 5 ) ni Tshs 400,000. wadau nimekuja...
WE KOMAA NA CONTEMPORARY ISSUES, MAANA KATIKA WRITTEN INTERVIEW HAWATABIRIKI. CHA KUHUZUNISHA NI KWAMBA WE UTAKOMAA LAKINI KUNA WATU MASWALI YA MITIHANI WANAYO, KAMA MIMI ILIVYOTOKEA KATIKA INTERVIEW YA MWISHO NILIYOFANYA TRA, JAMAA NILIYEKAA NAE PEMBENI VITU ALIVYOKUWA ANASONA NDIO HIVYO...
Hbari za weekend. wakuu kwa yeyote anaefahamu uzuri na ubaya (pro and cons) za macbook pro naomba anijuze. ( kwa kifupi mimi ni mzoefu wa kutumia pc za window, hivyo basi nimeona nisikurupuke pasipo ushauri wenu wadau.
Habari za mihangaiko wataalam, naomba kuuliza kwamba baada ya taratibu za kuomba uhamisho TAMISEMI Kufika kwa RAS (Katibu tawala mkoa), je kuna ubaya nikituma copy zangu kwa njia ya EMS kule makao makuu Dodoma.maana nasikia ofisi za RAS huwa wanachelewesha kuzituma documents kule makao makuu...
Tuweke pembeni uchadema na uccm, kimsingi kila binadamu anayo haki ya kuishi humu duniani na hakuna binadamu aliyezaliwa kwa bahati mbaya wote tumezaliwa kwa mipango ya mwenyezi mungu. Kwa kweli inauma sana kuona binadamu anadhulumiwa uhai wake kwa ajili ya siasa na uchama.
Mwenyezi mungu...
Kwa wale ambao wanaplan ya kusoma Masters na PhD pale Mlimani ( University of Dar es salaam) kwa mwaka huu 2018 tayari wameanza kupokea maombi. deadline tar 30/05/2018.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.