Hbari za weekend. wakuu kwa yeyote anaefahamu uzuri na ubaya (pro and cons) za macbook pro naomba anijuze. ( kwa kifupi mimi ni mzoefu wa kutumia pc za window, hivyo basi nimeona nisikurupuke pasipo ushauri wenu wadau.
Hbari za weekend. wakuu kwa yeyote anaefahamu uzuri na ubaya (pro and cons) za macbook pro naomba anijuze. ( kwa kifupi mimi ni mzoefu wa kutumia pc za window, hivyo basi nimeona nisikurupuke pasipo ushauri wenu wadau.
Mkuu me laptop yangu ina stuck baada ya kuiwasha inaweza ikawaka vizuri tu ila baada ya dakika moja inagoma kufanya chochote hadi niizime na kuiwasha mara kibao ndo ikubali tatizo linaweza kua nini mkuu1. macbook pro zipo nyingi sana, kuna mpya na za zamani, hivyo usitegemee utafute tu random macbook pro ununue ikutimizie mahitaji yak. unaweza ukapigwa mchana kweupe. ni vyema ukaangalia internal specification zake na ulinganishe na matumizi yako.
2. Macbook official zinakubali kuweka windows. hivyo unaweza uka dualboot windows na osx pamoja.
ungetaja matumizi yako ingekuwa vizuri.
Hbr Chief1. macbook pro zipo nyingi sana, kuna mpya na za zamani, hivyo usitegemee utafute tu random macbook pro ununue ikutimizie mahitaji yak. unaweza ukapigwa mchana kweupe. ni vyema ukaangalia internal specification zake na ulinganishe na matumizi yako.
2. Macbook official zinakubali kuweka windows. hivyo unaweza uka dualboot windows na osx pamoja.
ungetaja matumizi yako ingekuwa vizuri.
jaribu kuiwasha kwenye safe mode, ikiwaka vizuri ni tatizo tu la software uki re install windows litakwisha. ila kama hadi safe mode ina nata nata pengine ni hardware kitu kama Hard disk inaanza kufa.Mkuu me laptop yangu ina stuck baada ya kuiwasha inaweza ikawaka vizuri tu ila baada ya dakika moja inagoma kufanya chochote hadi niizime na kuiwasha mara kibao ndo ikubali tatizo linaweza kua nini mkuu
Okay Shukrani mkuujaribu kuiwasha kwenye safe mode, ikiwaka vizuri ni tatizo tu la software uki re install windows litakwisha. ila kama hadi safe mode ina nata nata pengine ni hardware kitu kama Hard disk inaanza kufa.
Lengo wataka kuifanyia shughuli gani mkuu?Hbari za weekend. wakuu kwa yeyote anaefahamu uzuri na ubaya (pro and cons) za macbook pro naomba anijuze. ( kwa kifupi mimi ni mzoefu wa kutumia pc za window, hivyo basi nimeona nisikurupuke pasipo ushauri wenu wadau.
Habari Chief-Mkwawa! laptop yangu inatatizo kwenye keyboard yani kuna baadhi ya buttons ukibonyeza hazi display kwenye screen ila zinabonyezeka, buttons zingine zinafanya kazi vizuri tu. Naomba msaada wako. Samahani kwa usumbufu!jaribu kuiwasha kwenye safe mode, ikiwaka vizuri ni tatizo tu la software uki re install windows litakwisha. ila kama hadi safe mode ina nata nata pengine ni hardware kitu kama Hard disk inaanza kufa.
mara nyingi ni tatizo la hardware mkuu. ukimwagia kitu kwenye keyboard pia inaweza sababisha. sometime ukisafisha keyboard inaweza kukaa sawa na wakati mwengine hadi ubadili keyboard ndio inakubali.Habari Chief-Mkwawa! laptop yangu inatatizo kwenye keyboard yani kuna baadhi ya buttons ukibonyeza hazi display kwenye screen ila zinabonyezeka, buttons zingine zinafanya kazi vizuri tu. Naomba msaada wako. Samahani kwa usumbufu!
Ok, nashkuru mkuu!mara nyingi ni tatizo la hardware mkuu. ukimwagia kitu kwenye keyboard pia inaweza sababisha. sometime ukisafisha keyboard inaweza kukaa sawa na wakati mwengine hadi ubadili keyboard ndio inakubali.