Mimi naamini inawezekana kabisa Mbowe na Mamvi wanahusika na kupotea kwa Ben inawezekana kabisa tunawasingizia Polisi na kama siyo Mbowe basi ni usalama wa taifa.
Tatizo lao ni umalaya mwingi,ubishi kwa sana ni wagumu kueleweshwa kitu na wakakubali haraka na pia sio wavumilivu katika mahusiano au ndoa pale hali ya uchumi inapotetereka kwa mwanaume ni wepesi sana kusaliti ndoatena wanaona ni haki yao kabisa kisa biashara imetetereka kidogo ila kwa...
Nimemuuliza Mwanasheria mmoja ameniambia ule unaitwa wizi wa kuaminiwa umemuamini ukampa pesa ili akufanyie kitu fulani mwishoni akaingia mitini au akafanya ndivyo sivyo na ili ufungue hiyo kesi lazima kwanza ukaongee na OCS umuelezee na mjadili aone kama anaweza kuruhusu ufungue kesi au laa...
Hivi sheria zinasemaje kwa hawa waganga matapeli ikitokea amekutapeli pesa nyingi sana kwa nia ya kukusaidia jambo fulani kumbe hawawezi hivi unaweza kwenda Polisi na kuwashitaki kweli na polisi wakakusaidia kuwakamata au Polisi wanaweza kukugeuzia kibao labda hayo mambo hayaruhusiwi hebu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.