Wanawake hatari wakuoa!

Wanawake hatari wakuoa!

Unaonaje ungeunganisha msanii na wasanii halafu pia barmaids na wahudumu ili iwe kwenye mafungu sawia.
 
we una matatizo si bure, sio kweli kabisa...sa wakina nani wanuafa....maana hapo labda unataka wa kushinda nyumbani tu
 
Hamna utafiti wako sijauelewa maana wapo na wenye kila hizo sifa na wana perform vizuri kwenye ndoa bila usaliti
 
Familia bora siyo lazima wenzi wote wawe na kazi za kuajiriwa kama hizo ulizotaja hapo juu. Mwanamme anaweza oa binti asiye na kazi ila akamsaidia kujiajiri kwa manufaa ya familia.

Mkuu Wewe Ni Nomaaaa nimekubali
Unajua Eti Watu wanafikiri Pesa tuu Ukioa mwanamke Asiekuwa Na Kazi Mtaishije...Allla Eti kusaidiana...
Hivi kusaidiana Mpaka Mwanamke aajiriwe???
Kwanza Ndo mwanzo wa Kusaidiwa halafu wakisaidisa wanaanza Kulia Lia Au Kuuwa Wenzao Aggggrrrr....
Utafikiri waliambiwa mwanamke Anamsaidia mwanamume....Kwanza Ni Aibu Kusema Eti mwanaume unatafuta mwanamke mwenye Kazi Eti Ili Akusaidie
Ndo Maana wakati mwingine nawakubali Ndugu zangu wa Kiarabu Au Zenji...Kwa maadili...
Mwanamke hatakiwi kufanya Kazi...
Mambo ya mwanamke kufanya Kazi yalikuja baada ya Vita kuu ya Pili ya Dunia 1945.
MUNGU hajamuumba nwanamke kufanya Kazi...

Watu inabidi waongee Na Wazee wawaeleze Tanzania Wanawake wameanza Kufanya Kazi Miaka ya 1965.
 
Ina maana hiyo list hapo juu hawaolewi?kazi sio ishu hata kidogo,pili tabia ya mtu ni kama ngozi,kuivua hawezi kama ni hivyo so ni baadhi ya wanawake /wanaume ndo hatari.na log off
 
Mwanamke yeyote ni hatari kuwa naye kama hujiamini.
Kujiamini ni power of ignorance. Women are the serial killers of the mans confidence kama utaliangalia hilo kwa umakini.
Utaanza na full confidence atakuwa anakutii kila usemalo na utakalo afanye atafanya kiroho safi ila akishabadilika akawa mkaidi hata hio confidence yako it won't do shit!
Utajiamini vipi na mwanamke unayejua anakusaliti bro?
 
Wanaume hebu mjiamini jamani.
Sifa ya uanaume inazidi kupungua.
Una maanisha nini hasa ukisema mtu ajiamini?
Tatizo wanawake wa siku hizi mmejustify usaliti kuwa ni jambo la kawaida. Kujiamini sana kunasababisha uonekane ndezi to my perspective, it means ignoring the red flags!
 
Una maanisha nini hasa ukisema mtu ajiamini?
Tatizo wanawake wa siku hizi mmejustify usaliti kuwa ni jambo la kawaida. Kujiamini sana kunasababisha uonekane ndezi to my perspective, it means ignoring the red flags!
'Wanawake wa siku hizi'.
Naona wanaume mmebaki kuwa wa zamani, basi oeni wanawake wa zamani maana wao hawana hizo red flags.

Alafu unapenda kugeneralize wewe, ulisalitiwa na mmoja basi wanawake wooooote wasaliti,khaaah!!!
 
Hujahudhuria semina za walimu wewe,tuulize sisi walimu tunajuana aisee
Co semina tu hata wanakoenda kusahisha... Kulikuwa na mwalimu toka moshi(wa kike)shule moja maarufu na kubwa akaenda kusahisha mtihani wa form two Tanga ndani ya siku hizo alikutana na mwalimu kutika arusha somebody ng'aida na pamoja na ubze wote lakini bado mwalimu shayo alibaduliwa kwenye mazigira hayo na baada ya kusahisha wakapumzika zaidi ya cku mbili tanza..was 2013.. Hakuna cha walimu hapo
 
'Wanawake wa siku hizi'.
Naona wanaume mmebaki kuwa wa zamani, basi oeni wanawake wa zamani maana wao hawana hizo red flags.

Alafu unapenda kugeneralize wewe, ulisalitiwa na mmoja basi wanawake wooooote wasaliti,khaaah!!!
Ha ha ha amna aisee, ni mtazamo tu maana mtu anakwambia jiamini bhana wakati unaona kabisa there is something fishy going on
 
Mbona walimu mnaowatetea wako so weak na hii inatokana na kipato chao kuwa kidogo na pia kumbuka nao wanahudhuria semina mbalimbali.
 
Back
Top Bottom