Tanga njia rahisi kupata nenda Tanga Fresh kiwandani omba kuonana meneja atakuelekeza au hapo mjini mtafute Bw. Mahadhi Meneja wa Union ya wafugaji au nenda Maramba kutana na viongozi wa Ushirika wa wafugaji utapata bila shida
Ukitaka kujua aina ya watu na uwezo wao wa akili pima michango ya mawazo yao. Hapa naona kama Simba ,Yanga na Okwi. Toeni maelezo yanayoeleweka. Kwa lipi ? Fedha mnazopewa au ? Mtakula siku ngapi za kupewa ? Kumbukeni" ..
.amelaaniwa amtumainiye mwanadamu..
"
Dar es salaam chuo cha kipumbavu Kwa wapumbavu. Pachafu,uovu mwingi,dhuluma eti ndiyo ujanja wa mjini. Unataka kujua watu wake wakoje soma michango yao,angalia matendo yao. Dsm yapaswa kuombewa na kufunzwa haina chembe ya kuwa mwalimu mzuri Kwa wanetu isipokuwa waliochagua uovu Kuwa urithi wao...
Mnapimaje mzazi anayeonya Kwa viboko na anayemtesa ?kuna mchangiaji amehoji watoto mashoga wanatoka wapi ? na wazazi wao wafanywe nini ? Naongeza maswali, je kama kuna mzazi watoto wote wezi,wabwia unga,wavivu,Malaya,hawataki shule wafanywe nini ? Au wazazi wa kundi hili wapewe tuzo ya malezi...
Mugabe mwanaume wa kweli aliyesalia km kiongozi Afrika. Mwizi anamwita mwizi haogopi rangi yake wala kubembeleza msaada wake. Tatizo letu mwizi akipanda ngazi na kutuibia tunamwita mjanja. Jeshi letu la kweli lililomkimbiza Smith, Mreno na Kaburu bila kupokea hongo au fedha zao limepotelea wapi...
Tatizo la wengi wetu kudhani kila kitu cha mzungu ni sahihi. Mtoa mada katukumbusha wajibu wetu wazazi Kwa busara kubwa. Ni suala tu la kuchagua kuwa mkweli au mwongo. Bila malezi mema watoto hupotoka. Fimbo ni sehemu ya malezi. Kila mmoja wetu anaweza kufanya utafiti Kwa kutumia malezi yake na...
Mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu pamoja na ngano upumbavu wake hautamtoka. Usibishane na mpumbavu usije kufanana naye. Mtoa mada katoa mawazo mazuri kufundisha mchangiaji anaanzisha matusi. Changia,ping a au boresha. Matusi faida yake nini ?
Hata Elia alibishana na manabii wa Baali. Kukomesha ubishi akawaalika kuthibitisha MUNGU wa kweli hadharani. Akawataka watangulie kumtolea sadaka Mungu wao na ajithibitishe Kwa kuzipokea. Tunajua yaliyotokea. Elia alimwomba MUNGU wake ajithibitishe Kwa kuipokea sadaka yake. MUNGU wa kweli...
Kama Ulaya kuzuri mno si muhamie. Mkipata uraia wa huko kuzuri Uraia pacha wa nini.? Na wazungu matajiri waliotoka nchi za kitajiri wanakuja huku kufuata nini? Je wanakuja kuonja ladha ya umaskini? Tatizo nililolibaini tumejifunza kukariri siyo kuchanganua. Ndiyo maana vitu vyetu vyote...
Ndiyo faida ya elimu ya "copy and paste". Hili si suala la Tanzania tu. Dunia nzima fani yenye wataalam wachache haiwezi fanana na fani yenye mafuriko ya wanataaluma. Kumbuka darasani popote ulipokuwa wangapi walipenda namba zaidi ya talalila ? Ushauri mzuri umetolewa kama umeelimika jiajiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.