Kweli ndugu yangu hawa jamaa wa Iptl wameamua kutunyanyasa sisi wenye nchi yetu,fedha zetu wamekwapua alafu ili kunyamazisha wenye kujua hujuma hizo wanawafungulia mashitaka mahakamani,Kumbe Robert Mugabe hakukosea kuwatimua hawa jamaa wanao jiita wawekezaji.
Mugabe mwanaume wa kweli aliyesalia km kiongozi Afrika. Mwizi anamwita mwizi haogopi rangi yake wala kubembeleza msaada wake. Tatizo letu mwizi akipanda ngazi na kutuibia tunamwita mjanja. Jeshi letu la kweli lililomkimbiza Smith, Mreno na Kaburu bila kupokea hongo au fedha zao limepotelea wapi ? Mbita kamanda wa ukweli hukutuachia hata 10 tu walinzi wa kweli wa Tz wamalize ujinga huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.