Tunahitaji sana mawazo ya msaada kwa watanzania na sio kujiona bora kuliko wengine. Kwa uzawa waenyeji wa Dar ni wazaramo. Kwa bahati katiba inaruhusu mtanzania kuishi mahali popote bila kuvunja sheria. Hilo ndilo la msingi. Kauli za namna hii zikiendekezwa zitaleta ubaguzi kama Afrika kusini...
Hivi ni kweli kuwa miswada hiyo ya kakosa ya kimtandao na twakwimu imeshasainiwa?
Na kama imeshasainiwa sisi kama wadau(waathirika) tunafanya nini kutoa ujumbe wetu?
Waswahili wanasema akinyolewa zako tia maji.
Ukiona picha za kuonyesha masikini na mifumo yao ya maisha ya kila siku, inatakiwa iwe changamoto ili mwenyewe au familia yako isijeingia kwenye mkasa huo. Lakini pia unatakiwa uwe mwalimu mwema pia kwa wengine ili kuokoa hali ya namna hiyo...
Ninavyojua wabunge wa ccm, kwanza huwa wanashangilia sana wakati spika anapomlazimisha mbunge wa upinzani kukaa chini au kutoka nje. Na pia kipindi cha kutoa hoja, wabunge hawa ccm kujitahidi kuchangia hoja za upinzani kana kwamba hawa wa upinzani walioleta hoja ni watu wasio na akili. Kutokana...
Ni majonzi sana kwa kanisa na jamii kiujumla. Alikuwa mtumishi kanisani, lakini pia alikuwa mwanaharakati wa maendeleo kwenye jamii. Nawapa pole sana familia ya baba askofu Laizer na pia ofisi ya KKKT. Mungu awape moyo wa subira na ujasiri wakati huu mgumu.
Ni majonzi sana kwa kanisa na jamii kiujumla. Alikuwa mtumishi kanisani, lakini pia alikuwa mwanaharakati wa maendeleo kwenye jamii. Nawapa pole sana familia ya baba aakofu Laizer na pia ofisi ya KKKT. Mungu awape moyo wa subira na ujasiri wakati huu mgumu.
Wasanii wa Tanzania hili ni pigo lingine kwao na kwa watanzania wote. Je! ni mpango wa Mungu wasanii kupukutika hivi?
Nadhani ni wakati sasa wasanii kukaa chini kutafakari juu ya haya matukio walau ya mwaka huu tu.. wajaribu kuangalia
kuna tatizo gani kati yao wenyewe, lakini pia kati na Mungu...
Mr. Ebbo hatunaye tena duniani! Ni masikitiko makubwa sana kumpoteza mwanaharakati wa muziki kama Mr Ebbo. MuzikI wake ulivutia, kufundisha, kuonya, kudumisha mila na utamaduni. Ni mwakilishi wa wamasai kwenye uwanja wa muziki lakini pia hata Tanzania nzima hasa pale tunapozungumzia muziki nje...
I wonder now days students! you have gained even the confidence to write to the public all filth you were doing at school. It reflects all stupidiyt you have and how you have beeing bulding up on it. I wish now to advise at least to those who can listen and understand, that what brought them to...
Nimepata habari kutoka gazeti la Raia Mwema la wiki hii kuhusiana na habari za uhujumu wa uchumi kwenye wizara ya maliasili. Habari hii kutoka ndani ya moyo wangu imenihuzunisha sana kama sio kunitia kichefuchefu.
Ndio maana nimeamua nitapikie bakuli hili la jamii forum. Watanzania wenzangu...
Watanzania tumechoshwa na siasa ya danganya toto, tunataka mabadiliko ya ukweli na sio siasa ya kufurahisha na kunufaisha wachache kama wenzetu wanavyofanya sasa hivi. Kwa mfano kampeni za Tanzania wakati wa chaguzi za viongozi wa taifa utawasikia wagombea wakitoa ahadi kedekede na nyingine...
Yote haya yanayotokea UDOM kabla sijalaumu naangalia ni nani anayestaili pongezi na ni nani anayestaili kukosolewa na kukimbiwa kama sio kuonywa kwa dhati kabisa.
Nawahurumia sana wadogo zangu wa Udom kwa kujionyesha sana kuwa mnaweza na mnaijua siasa kumbe hata definition ya siasa hamuijui...
Hello my fellow Tanzanians! I have to thank you on how you showed sense during balloting and for a proper utilisation of your voting right and duty. I did not expect people to turn out in balloting as it did in 2010 general elections. I drew my attention again that we can and we can surpass...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.