Mara nyingi inakuaga ni ndoto ambazo ulishaziota kipind cha nyuma katika mazingira hayo,kwaio unakuja kuyaona matukio hayo ulioyaota siku za mbeleni.. ni jambo la kawaida tu..!
Xerox achana nazo kabisa izo hazina mafundi ikiharibika mchezo umeisha.na iyo bizhub c 284 ni ndogo sana na haina quality nzuri labda utumie kuprint karatasi za normal paper kama vile gsm 70,80 au 135 na sticker za kawaida labda na kutoa copy za rangi au black and white.ukitumia gram ngumu kama...
Hizi canon ni nzuri na zinaquality nzuri sana tatizo kwenye vifaa vyake ndo shida ilipo hapo.mafundi wake ni wachache sana ikitokea imeharibika itakubid umsubir fund kutoka kwao wenyew waliokuuzia ndo aje akutengenezee.vifaa pia ikiwemo wino unanunua kwao wenyew.shida inakuja wino umeisha au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.