Recent content by Gogle

  1. Gogle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikiona makalio makubwa yanatingishika napatwa na kizunguzungu, msaada tafadhali

    Mods hili ombi la msaada nililiweka kule jukwaa la doctor sijji kwanini mmelihamisha huku MMU
  2. Gogle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikiona makalio makubwa yanatingishika napatwa na kizunguzungu, msaada tafadhali

    Mkuu usikebehi shida za wengine, omba yasikukute, kuwa msaada.
  3. Gogle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikiona makalio makubwa yanatingishika napatwa na kizunguzungu, msaada tafadhali

    Habari zenu wana JF. Wakuu nimekuwa na hili tatizo kwa zaidi ya miaka 10 sasa, limekuwa likijirudia mara kwa mara. Yaani ni kwamba imekuwa kawaida nikiwa natembea njiani nikiona mdada mwenye makalio makuwa yanatingishika inabidi nikae chini kwanza au niegemee nguzo au ukuta, nisipofanya hivyo...
  4. Gogle

    JamiiForums Tanzania Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

    Hebu tuthibitishie kuwa ethiopian airlines inatoka capetown kupitia dar kwenda addis., tuwekee hata dumb itinerary.
  5. Gogle

    JamiiForums Tanzania The Role of Yuda Eskarioti Kwenye Ukombozi wa Dunia: Je, Yuda alaumiwe, alaaniwe au apongezwe?!

    Mkuu sikuwahi kuona uzi wako ukiwa na wachangiaji wachache kuliko huu!
  6. Gogle

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ukraine haishambulii Russia moja kwa moja?

    Mkuu nakukubali sana kule tech and gadgets, heshima kwako, hapa unepuyanga!
  7. Gogle

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Sabaya na Mbowe ni makutano

    Mkuu, kwa nia njema tu naomba kujua unajisikiaje kuona uzi wako una miezi miwili hapa jamvini na hauna hata reply moja?
  8. Gogle

    JamiiForums Tanzania TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Tujuze bei za bando tafadhali
  9. Gogle

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Wabunge watokane na Madiwani wa Jimbo husika

    Bangi ya wapi hiyo mkuu? niiwahi fasta.
  10. Gogle

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Ashraf Marwan "a Superspy" ndiye aliyeikoa Israeli na kipigo kipindi kile cha Six Day War?

    Neflix kuna movie yake ina episode kama nne hivi, bomba sana ukitaka kuifaidi msome kwanza wikipedia then angalia movie, utaipenda
  11. Gogle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania The Man Next Door

    Picha za nyumba hazikubaliani na maelezo ya kamba za kuanikia nguo.
  12. Gogle

    JamiiForums Tanzania INAUZWA iPad2 inauzwa

    Acha masihara mkuu, ipad 2 laki mbili?!!, mimi ninayo hiyo natafuta wa kumgaia bure sijampata
  13. Gogle

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo ni mwaka mmoja kamili toka kifo cha Shangazi wetu kilipotokea kwa kutumbuliwa utumishi Serikalini. Inasikitisha

    Hapana mkuu, na mahakamani nako ni sheria tu.
  14. Gogle

    JamiiForums Tanzania Richmond case study: Je, Waziri Mkuu Majaliwa atavuka kikwazo cha Lowassa kwa ma-V 8 haya?

    Ikiwa hili ndilo walilolipata baada ya kutafuta ya kumchafua Majaliwa inamaanisha Majaliwa ni msafi sana!
  15. Gogle

    JamiiForums Tanzania The 100 Most Influential Africans of 2020, Ni Hawa!, Kama JPM, Mo, Diamond, Samatta Hawapo, Then It Must Be Fake List!,ila Kuna Mtanzania 1, Gues Who?

    Hiyo list imeandaliwa na mabeberu yaani wametuwekea Mtanzania ambae hata sisi wenyewe hatumjui,
Back
Top Bottom