Recent content by godsonswai

  1. godsonswai

    TCRA yaweka namba ya kucheki simu fake! Kuanzia tarehe 17 June simu zote fake kufungiwa

    Nimetuma IMEI yangu kwenda hiyo Code ya TCRA imeniletea aina kampuni ya simu yangu pamoja na model yake.nadhani itakuwa TCRA wanakuhakikishia hiyo IMEI wao wanaitambua kuwa ni simu ya kampuni gani na ni ya aina gani kama walichojibu kitakuwa sawa na aina ya simu uliyonayo utakuwa na simu Original
  2. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sidhani kama ni makosa ya Wenger kutochukua makombe kwa muda wote huo, kumbuka tumejenga Emirates Stadium uwanja bora zaidi baada ya Wembley Stadium pale Uingereza huoni alijua nini yatakayokuja mbeleni kama FFP inayoiumiza ManCity sasa hivi wewe unafikiri Mapato yangekuwa kama haya tuliyonayo...
  3. godsonswai

    IPTL saga: Siri Imevuja, Mwigulu na Zitto Kabwe Kaa la Moto... Ndio waliolipua!

    Spika alisema suala hilo alishalibariki na Kamati ya PAC ikamuagiza CAG aanze ukaguzi wa hiyo Akaunti,nadhani isinge wezekana tena kwa hao wawili kulisemea bungeni wakati huu wanasubiri Taarifa ya CAG BUNGENI
  4. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kumbe mihela ikikutana Arsenal tunaongoza kiurainiiii ......
  5. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ndio ina wapenzi wanaonunua Magazeti na kulipia ving'amuzi kwa wingi kama wanavyolipia gharama kubwa kuingia kwenye uwanja wa Emirates Stadium
  6. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tatizo sisi wengine hatuwezi kuangalia na kuandika BUT pamoja na kumiliki mpira Southampton wamechomoa wao Goal
  7. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tatizo anamfanya Brendan Rojas kama scout wake embu angalia issue ya Salah nasikia alikuwa aende Liverpool yeye tayari kapandia dau anamchukua wakati ule ilikuwa Willian jamaa mpaka asikie wenzie ndio anamfuatilia
  8. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tatizo Hajiamini ....
  9. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    FT Arsenal 2 Fulham 0
  10. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Baada ya kupita kwa Mtani wetu naona tumepangiwa na nafuu kidogo
  11. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tatizo wao waingereza kwao kuifunga Spurs ni tukio muhimu sana si uliona hata Wilshere alivyokuwa anacheza ni kama Carl Walker wa Tottenham alivyokuwa anajituma kwenye mechi ya leo
  12. godsonswai

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hapo umenena mkuu na tujue leo Tottenham wamepania kutufunga kweli baada ya kuwafunga kwenye Premier League huku wakiwa wametumia £108M kusajili wachezaji sasa hawatakuwa na kisingizio cha wachezaji walikuwa hawajazoeana kucheza kitimu najua watajituma kupita kiasi ili washinde mechi ya leo
Back
Top Bottom