kwa chelsea eenh?
Chelsea imekufanya nini?
Mkuu hio isikutishe sana Wenger anapumzisha wachezaji.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mazoezi kujiandaa na mtanange wa kesho
kwenye kinyang'anyiro cha FA Cup
c jamaa wa southampton walitaka kukitia kitumbua mafuta ya taa,
leo asernal - Totenaham saa ngapi wadau?
COME ON YHU GUNNERZZzz!!!
Tatizo Babu Wenger anaweza kuanzisha wachezaji ambao hawachezi mechi nyingi kwenye Premier League au hawaanzi kwenye kikosi cha kwanza kwenye Premier League kwa lengo la kuwapumzisha wachezaji
Tatizo Babu Wenger anaweza kuanzisha wachezaji ambao hawachezi mechi nyingi kwenye Premier League au hawaanzi kwenye kikosi cha kwanza kwenye Premier League kwa lengo la kuwapumzisha wachezaji
Inawezekana Wenger akafanya hivyo maana sometimes haeleweki.
SabogoVipi leo nani mshambuliaji pale mbele? Maana Giroud na Bendtner wote majeruhi, Gnaby ama podo?