Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
What a save fro sczeny
Naona wenzako wamekususia jukwaa leo
What a save fro sczeny
Naona wenzako wamekususia jukwaa leo
Mbu atasingizia alikuwa anapiga box,leo golikipa wenu alikuwa Man of the matchDuuh we acha hadi mdudu Mbu.
Mbu atasingizia alikuwa anapiga box,leo golikipa wenu alikuwa Man of the match
Tatizo sisi wengine hatuwezi kuangalia na kuandika BUT pamoja na kumiliki mpira Southampton wamechomoa wao Goal
Hii game imetuwia ngumu sana. Hatukustahili kushinda kabisa....tumezidiwa kwenye kila idara. Am happy atleast tumetoka na point 1.2mepata point 1 na tunaingia mwezi wa 2 ambao ni mgumu sana kwetu but all kila la kher kwa Gunners.
COYG.
Mbu atasingizia alikuwa anapiga box,leo golikipa wenu alikuwa Man of the match
Poleni sana,nasikia Ramsey amemfuata Diaby wodini