Wanataka kuturejesha Enzi zile za mwaklimu, Television alikuwa nayo yeye tu harafu anatujuza kupitia radio RTD aliyoyaona kwenye vyombo vya nje kupitia Luninga,ninachojua,tusipoandika sisi watanzania tunaoongopa amri halali ya viongozi wetu, vyombo vya nje vitaendelea kutujuza,wafunge na satlite...