WANYARWANDA wamejaa Jeshini hadi Ikulu Tz...

WANYARWANDA wamejaa Jeshini hadi Ikulu Tz...

Hofu ya nini ndugu zanguni?
Biblia yangu imeniambia mara 365 kuwa USIOGOPE. Hii inamaana kila siku ninaambiwa nisiogope, na mimi siogopi kitu.
Kama serikali ya Tz inahofu na Wanyarwanda si ifanye miundo mbinu tuungane nao?
If you cant fight them, join them.
Hapo utakuwa salama
Bujibuji!umenikosha.USIOGOPE.
 
Tangu lini tumekuwa tukisikia kuwa wanyarwanda wengi wamejaa kwenye secta muhimu hapa nchini? jeshini, secta muhimu hadi ikulu?

huyu mwanajeshi aliyetorokea Rwanda ni fundisho tosha, ndio maana kagame ana kiburi kwasababu amekuwa akipokea siri za tz tangu kitambo, anao watu wake hapa, na hawa watu wake ndio walewale aliowatumia kumuua Prof mwaikusa. anaweza kuifanya lolote tz kwasababu amejaza mamluki wake hapa. Tz beware.

pia, ule mchakato wa kufurumusha wahamiaji haramu ilikuwa ni danganya toto tu, mbona hawafukuzwi? hao ndio wanaokuja kuisaliti tz baadaye, yapaswa waondoke wote, kagera na kigoma iwe safi, polisi wanajeshi na usalama safisha maeneo haya. pia kuna umuhimu kwa secta muhimu kuchuja watu wa aina gani, wazalendo kiasi gani na historia za maisha yao zichunguzwe kabla ya kupewa nafasi muhimu. wamarekani wanafuatilia mtu hadi alipozaliwa, ila tz tunapeana tu vyeo, ona sasa afisa mkubwa wa jeshi anapeleka siri za nchi yetu nje? tutakuwa na ujasiri kuivamia rwanda kweli? si wanatujua? wanatuona tuko uchi hadi wanatudharau

Haki ya Mungu, ile dhana ya urefu kama kigezo bora cha Mwanajeshi nadhani imekula kwetu. Wanyarwanda kweli ni warefu na waliowaona hao waliodhani ni Watanzania kumbe ni Wanyarwanda wakawaingiza jeshini kurekodi siri za nchi na kuzituma kwao. Tatizo hapa ni kwamba serikali imezubaa. Hadi mtandika mashuka ikulu atakuwa ni raia wa nje, subirini siku Rais akikikimbia kitanda kwa sababu umemwagwa u.p.u.p.u.
 
Hofu ya nini ndugu zanguni?
Biblia yangu imeniambia mara 365 kuwa USIOGOPE. Hii inamaana kila siku ninaambiwa nisiogope, na mimi siogopi kitu.
Kama serikali ya Tz inahofu na Wanyarwanda si ifanye miundo mbinu tuungane nao?
If you cant fight them, join them.
Hapo utakuwa salama

wenyewe kwa wenyewe wanashindwana, sisi ndio tutawaweza??????
 
Wanyarwandwa ni hatari lakini kwa Tanzania hawafui dafu.
 
Tangu lini tumekuwa tukisikia kuwa wanyarwanda wengi wamejaa kwenye secta muhimu hapa nchini? jeshini, secta muhimu hadi ikulu?

huyu mwanajeshi aliyetorokea Rwanda ni fundisho tosha, ndio maana kagame ana kiburi kwasababu amekuwa akipokea siri za tz tangu kitambo, anao watu wake hapa, na hawa watu wake ndio walewale aliowatumia kumuua Prof mwaikusa. anaweza kuifanya lolote tz kwasababu amejaza mamluki wake hapa. Tz beware.

pia, ule mchakato wa kufurumusha wahamiaji haramu ilikuwa ni danganya toto tu, mbona hawafukuzwi? hao ndio wanaokuja kuisaliti tz baadaye, yapaswa waondoke wote, kagera na kigoma iwe safi, polisi wanajeshi na usalama safisha maeneo haya. pia kuna umuhimu kwa secta muhimu kuchuja watu wa aina gani, wazalendo kiasi gani na historia za maisha yao zichunguzwe kabla ya kupewa nafasi muhimu. wamarekani wanafuatilia mtu hadi alipozaliwa, ila tz tunapeana tu vyeo, ona sasa afisa mkubwa wa jeshi anapeleka siri za nchi yetu nje? tutakuwa na ujasiri kuivamia rwanda kweli? si wanatujua? wanatuona tuko uchi hadi wanatudharau...
Tanzania ina raia wake watutsi kuondoa waliojipenyeza toka rwanda. Hawa watu kwa asili wana uzalendo wa kimbari kuliko wa taifa kwa hiyo tumeshafanya makosa tuwe macho mbele ya safari.
 
Inaonekana una wivu na mali zao, una uhakika gani kama ni wahamiaji haramu?au kwa kuwa wanatoka kigoma na kagera,wa moshi,mara,mbeya,mtwara,Tanga,sumbawanga,songea mbona huwasemi wakati nao ni wampakani tu
mkuu njoo njoo huku tegeta boko bunju uone jinsi walivyo jaa wanamiliki majumba na biashara za hardware ni aibu mkuu.tulisha sema kama serikali inania ya dhati kuwaondoa hawa itoe number za simu tuwaonyesha wawakamate ingawa wanauchumi mzuri wanaweza kuwapa rushwa wakawaachia kama si wazalendo.
 
tangu lini tumekuwa tukisikia kuwa wanyarwanda wengi wamejaa kwenye secta muhimu hapa nchini? Jeshini, secta muhimu hadi ikulu?

Huyu mwanajeshi aliyetorokea rwanda ni fundisho tosha, ndio maana kagame ana kiburi kwasababu amekuwa akipokea siri za tz tangu kitambo, anao watu wake hapa, na hawa watu wake ndio walewale aliowatumia kumuua prof mwaikusa. Anaweza kuifanya lolote tz kwasababu amejaza mamluki wake hapa. Tz beware.

Pia, ule mchakato wa kufurumusha wahamiaji haramu ilikuwa ni danganya toto tu, mbona hawafukuzwi? Hao ndio wanaokuja kuisaliti tz baadaye, yapaswa waondoke wote, kagera na kigoma iwe safi, polisi wanajeshi na usalama safisha maeneo haya. Pia kuna umuhimu kwa secta muhimu kuchuja watu wa aina gani, wazalendo kiasi gani na historia za maisha yao zichunguzwe kabla ya kupewa nafasi muhimu. wamarekani wanafuatilia mtu hadi alipozaliwa, ila tz tunapeana tu vyeo, ona sasa afisa mkubwa wa jeshi anapeleka siri za nchi yetu nje? Tutakuwa na ujasiri kuivamia rwanda kweli? Si wanatujua? Wanatuona tuko uchi hadi wanatudharau...


hapo kwenye mstari, kama jambo hujui au huna hakika sema uwe unaelimishwa! Unadhani tz vyeo nyeti vinatoka tuuu? Kuhusu huyo mwanajeshi, sio kweli kwamba ni mnyarwana. Labda basi kama unataka kuwambia walimwengu kwamba wazaliwa wa ngara wote ni wanyarwanda, na kama ni hivyo je ni sahihi kusema warombo ni wakenya kwakua kuna mpaka wa tarakea? Au wakurya wa tarime ni wakenya kwakua kuna mpaka wa kenya na tz pale?? Huyo mwanajeshi amefanya makosa ya kinidhamu akashtakiwa kijeshi then akakimbia, wangapi wanatoroka jeshini>? Kuhusu hizo siri unazosema amekimbia nazo, si kweli, siri za nchi haziko kwenye kitabu kimoja kwamba ukikisoma tu then umejua mambo yote ya kijeshi na mengineyo ya nchi nzima, na kuna vyeo vyake. Huyo kama ni siri labda atajua kwenye intake yake walianza kazi wangapi na labda kambi za kijeshi basi, mengine ni porojo tu mnaleta humu kudanganya watu.
 
Tangu lini tumekuwa tukisikia kuwa wanyarwanda wengi wamejaa kwenye secta muhimu hapa nchini? jeshini, secta muhimu hadi ikulu?

huyu mwanajeshi aliyetorokea Rwanda ni fundisho tosha, ndio maana kagame ana kiburi kwasababu amekuwa akipokea siri za tz tangu kitambo, anao watu wake hapa, na hawa watu wake ndio walewale aliowatumia kumuua Prof mwaikusa. anaweza kuifanya lolote tz kwasababu amejaza mamluki wake hapa. Tz beware.

pia, ule mchakato wa kufurumusha wahamiaji haramu ilikuwa ni danganya toto tu, mbona hawafukuzwi? hao ndio wanaokuja kuisaliti tz baadaye, yapaswa waondoke wote, kagera na kigoma iwe safi, polisi wanajeshi na usalama safisha maeneo haya. pia kuna umuhimu kwa secta muhimu kuchuja watu wa aina gani, wazalendo kiasi gani na historia za maisha yao zichunguzwe kabla ya kupewa nafasi muhimu. wamarekani wanafuatilia mtu hadi alipozaliwa, ila tz tunapeana tu vyeo, ona sasa afisa mkubwa wa jeshi anapeleka siri za nchi yetu nje? tutakuwa na ujasiri kuivamia rwanda kweli? si wanatujua? wanatuona tuko uchi hadi wanatudharau...

zoezi la kuwafurumusha linaendelea kwa taarifa tu ambazo nakuibua ni kua vikosi kazi toka moduli, arusha,moshi , shinyanga , tabora na mwanza kwa sasa vipo njian vikijongea huko toka jana tare 5 na leo magari ya jkt na jeshi la polisi toka mikoa nikiyo itaja yanaenda mkoan kagera na kigoma kuanza zoeZ subiri kusikia yatakayo jiri
 
Nataka tutafiti juu ya Yule Generali wa FDRA aliyetekwa pale mjini mwaka Jana na system ya Rwanda .....Hilo jambo lilitokea....hata Kama alikuwa wanted ...ilitakiwa akamatwe na watu wetu .....Othman na timu yake ya counter espionage ...wakiwamo watu wa MI....ni sawa na kupigwa kibao kwa mtuhumiwa yeyote kukamatwa bila msaada wao .....inamaana Nchi nyingine imeweza kupenyeza watu wake na waka complete mission bila kuhitaji msaada wa system yetu ????
Katika mikataba ya Nchi kiusalama ...kuna joint espionage missions ....ambapo unakuta mfano Kenya wana watu wao hapa wanted wanatuma timu inaungana na yetu na kuwakamata and vice versa ......Kama ilivotokeaga Wakati Tanzania na Kenya walipobadilishana watuhumiwa wa uhaini Kina Anko Tom ....
Ni Tusi Kama Rwanda walikamilisha mission Kweka bila kutushirikisha ...pale walipomteka General Deogratus Bigaruka Izabayo ....operation iliyoongozwa na Lt.col Tinka.
Lt col Tinka Ndie pia anasadikiwa kuwa na taarifa Za kutoroka kwa Lt.col Celestine Seromba ...au kumsaidia kutoroka kutoka kwenye senior officers mess temporary detention area..alipokuwa akisubiria kupelekwa kizuizini kwenye kambi maalum .

.Kama vile ilivomuuzi Zuma pale ma agent wa Rwanda walivojaribu kumuuwa general faustin kayumba Nyamwasa bila ridhaa ya ze cobras ( Nyamwasa is tipped to be the next president ...)
 
mkuu njoo njoo huku tegeta boko bunju uone jinsi walivyo jaa wanamiliki majumba na biashara za hardware ni aibu mkuu.tulisha sema kama serikali inania ya dhati kuwaondoa hawa itoe number za simu tuwaonyesha wawakamate ingawa wanauchumi mzuri wanaweza kuwapa rushwa wakawaachia kama si wazalendo.
wabongo tunaposikitisha ndio hapa, wivu tu! hao ni watanzania wenye asili ya Rwanda, sio lazima wawe wahamiaji haramu. wabongo tumejibweteka tu, wenzetu hawa wametoka kwenye shida wakija bongo wanapiga kazi, wakifanikiwa tunaanza ooh wanyarwanda...ooh this and that. wewe nani kakukatza usimiliki mijumba na biashara za hardware, acha kuona wivu piga kazi! au kama vipi kawaombe ushauri.
 
Nataka tutafiti juu ya Yule Generali wa FDRA aliyetekwa pale mjini mwaka Jana na system ya Rwanda .....Hilo jambo lilitokea....hata Kama alikuwa wanted ...ilitakiwa akamatwe na watu wetu .....Othman na timu yake ya counter espionage ...wakiwamo watu wa MI....ni sawa na kupigwa kibao kwa mtuhumiwa yeyote kukamatwa bila msaada wao .....inamaana Nchi nyingine imeweza kupenyeza watu wake na waka complete mission bila kuhitaji msaada wa system yetu ????
Katika mikataba ya Nchi kiusalama ...kuna joint espionage missions ....ambapo unakuta mfano Kenya wana watu wao hapa wanted wanatuma timu inaungana na yetu na kuwakamata and vice versa ......Kama ilivotokeaga Wakati Tanzania na Kenya walipobadilishana watuhumiwa wa uhaini Kina Anko Tom ....
Ni Tusi Kama Rwanda walikamilisha mission Kweka bila kutushirikisha ...pale walipomteka General Deogratus Bigaruka Izabayo ....operation iliyoongozwa na Lt.col Tinka.
Lt col Tinka Ndie pia anasadikiwa kuwa na taarifa Za kutoroka kwa Lt.col Celestine Seromba ...au kumsaidia kutoroka kutoka kwenye senior officers mess temporary detention area..alipokuwa akisubiria kupelekwa kizuizini kwenye kambi maalum .

.Kama vile ilivomuuzi Zuma pale ma agent wa Rwanda walivojaribu kumuuwa general faustin kayumba Nyamwasa bila ridhaa ya ze cobras ( Nyamwasa is tipped to be the next president ...)

Kumbe huyu bwana tayari alikuwa under detention,ilikuwaje akawatoka ghafla, hii itakuwa ni serious security breech ambayo lazima itakuwa ni inside job,otherwise nitaendelea kuamini kuwa the subject has been silenced and deleted permanently kama alivyosema mdau mmoja hapo juu, haya mengine tunayoambiwa ni kufunika kombe tu.
 
wabongo tunaposikitisha ndio hapa, wivu tu! hao ni watanzania wenye asili ya Rwanda, sio lazima wawe wahamiaji haramu. wabongo tumejibweteka tu, wenzetu hawa wametoka kwenye shida wakija bongo wanapiga kazi, wakifanikiwa tunaanza ooh wanyarwanda...ooh this and that. wewe nani kakukatza usimiliki mijumba na biashara za hardware, acha kuona wivu piga kazi! au kama vipi kawaombe ushauri.

Hao ni wahamiaji haramu, Hata kama wametoka kwenye shida rwanda na wakeja hapa na kufanya kazi kwa bidii na kumiliki ardhi.
Bado haiwahalalishi kuwafanya sio haramu. Bado watabaki ni wahamiaji haramu tu.
Sheria haziwaruhusu kumiliki ardhi mpaka kufikia kujenga makaadhi.
 
Mkuu usisahau kwamba Tanzania tumebarikiwa ukarimu. Tunawakirimu wageni na kuwapeleka hadi vyumbani mwetu tukifikiri ni marafiki wazuri wenye nia njema kwetu kama tuliyo kwao, kumbe wanakuja na ajenda zao tofauti ambazo nyigizo ni hujuma kwa taifa letu. Ni mambo ya kujifunza na kuungalia upya ukarimu wetu.

Tofautisha UKARIMU na UZUZU/UBWEGE/UJINGA nk.Hebu fikiri ni nchi gani inatabia kama yakwetu?!
 
Hao ni wahamiaji haramu, Hata kama wametoka kwenye shida rwanda na wakeja hapa na kufanya kazi kwa bidii na kumiliki ardhi.
Bado haiwahalalishi kuwafanya sio haramu. Bado watabaki ni wahamiaji haramu tu.
Sheria haziwaruhusu kumiliki ardhi mpaka kufikia kujenga makaadhi.
Swali langu ni hili wewe una ushahidi gani kuwa ni haramu ukiacha kuwa wana asili ya Rwanda? Pointi yangu ni kuwa kuna watanzania wengi wenye asili toka nje ya Tanzania. hatuwezi kuanza kuharass watu bila sababu za msingi, tutaishia kuwa kama iddi amin kufukuza wahindi kwa sababu wana maduka na viwanda
 
Back
Top Bottom