- Thread starter
- #21
Hakuna utapeli hapo wala sio kosa
cute watu tunatumia cm kwa vitu vya msingi co mambo ya kijinga kama hayo ya kuwasiliana watu wenyew huwafaham,hajakaa vizur nitumie votcher what the hell
Hakuna utapeli hapo wala sio kosa
Unakuta mtu anajifanya kakosea namba then basi anatafuta kuwa rafiki yako humjui hakujui,siku mbili tatu ashaanza kukuita baby sasa sielewi huo ubaby umekujaje hapo khaa!!
Unakuta mtu anajifanya kakosea namba then basi anatafuta kuwa rafiki yako humjui hakujui,siku mbili tatu ashaanza kukuita baby sasa sielewi huo ubaby umekujaje hapo khaa!!
halafu wanabuni yako kila leo:tape::tape::tape:mapi sio mmoja sijui vip hawa wadada,huwa wanakaa na kubuni namba cjui?
halafu wanabuni yako kila leo:tape::tape::tape:
namba yako lazima itakuwa na kaharufu flani...haiwezekani kila wiki wewe tu..hahahakwa kweli MAPI cjui kama ni yangu tu ila haipiti wiki mtu hasa w/wake ku wrong number kwangu(serious)
Hata leo imenitoke,kajifqnyq tufahamiane,halafu tuanze kwa kuchati,
Ukimu entertain lazima akugande ila ukimtimua harudi!!cute watu tunatumia cm kwa vitu vya msingi co mambo ya kijinga kama hayo ya kuwasiliana watu wenyew huwafaham,hajakaa vizur nitumie votcher what the hell
Unakuta mtu anajifanya kakosea namba then basi anatafuta kuwa rafiki yako humjui hakujui,siku mbili tatu ashaanza kukuita baby sasa sielewi huo ubaby umekujaje hapo khaa!!
ivi inakuaje mwanaume anakua na maandiko ya kike...?!
Hivyo ulivyoongea kama na ww ulishayapitia hayo 🙂....Usikasirike lakini shost naongelea hypothetically tu!Hawezi tu kuanza ghafla kukuita baby mazingira ya kuitwa baby unayaweka mwenyewe wanaume wengine mtu akikosea number kosa tu asikie sauti ya kike atamganda kama kope za kichina ooh kwani we unaitwa nani mara uko wapi mara usiku mwema eeh una saut nzur sauti yako tu inaonesha we ni mzuri nataman kukuona utaacha kuitwa baby?
Hivyo ulivyoongea kama na ww ulishayapitia hayo 🙂....
watu8 usikae mbali unipe back upUkidundwa usiniite....
he he he ndio majibu yanayotakiwa kutolewa hayo..sio ukiitwa bebi waitika yes honey lol....heheh...mimi kuna mtu aliniita bebi, nikamuuliza umenizaa lini?
akakata simu...
Hivyo ulivyoongea kama na ww ulishayapitia hayo 🙂....Usikasirike lakini shost naongelea hypothetically tu!