Ni kweli nawahi kumaliza deni lakini wakiendelea kukata bila utaratibu pia itaathiri mipango yako na budget yako kwa ujumla. Bora utaratibu ufuatwe inampa mteja kupanga budget yake vizuri na wao watachukua wanachostahili kwa wakati sahihi wa makubaliano.
Yawezekana kuna anayejua kujua mfumo wa marejesho nmb aliyekwisha kupitia hilo atafafanua. Kwa sasa niko mbali na hilo tawi matawi yao mengine hawawezi kutatatua hilo jambo
Wadau naombeni ufafanuzi;
Nilichukua mkopo NMB takribani miezi sita iliyopita makubaliano yalikua kukata kiasi cha marejesho kila mwisho wa mwezi lakini cha ajabu wanakata pesa mara mbili kwa mwezi mmoja iyo imekaaje???
Yaani hawakati kwa tarehe inayoeleweka kwa mwezi mmoja mmoja badala yake...
Pole sana kwa kipindi unachopitia naamini ni wakati mgumu sana na sio tu kwa sababu huna pesa lah hasha unaweza ukawa na Pesa lakini bado ukapitia hali hiyo nakushauri nenda Kanisani utapata amani na pia omba sana uwe na amani Mungu ni mwema na mwaminifu atakusaidia.
Pole Nenda kituo cha police ukaripot hilo tukio wao wanavitengo vinavyo husika na mambo ya cyber wanaweza kutrace simu zao na kujua wako wapi. Jaribu kuwa makini wakati mwingine matapeli ni wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.