Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
Naomba kujua nianzie wapi msaada tafadhali. Kuna kijana mmoja na mzee mmoja wamenitapeli pesa ambayo nilikuwa nawapa kwa ajili ya kilimo. Kuna baadhi ya pesa tulipeana kimaandishi na zingine hamna maandishi. Na hao watu wote sifahamiani nao kwa karibu. Sasa wamenitapeli kwa hiyo natafuta msaada wa kuwatrace kwa simu zao za mkononi
Je kuna uwezekano wa kuwakamata kupitia namba zao za simu mana bado hawajazima nawasiliana nao lakini wanaelekea kustuka sasa. Msaada wenu wana JF tafadhali
Je kuna uwezekano wa kuwakamata kupitia namba zao za simu mana bado hawajazima nawasiliana nao lakini wanaelekea kustuka sasa. Msaada wenu wana JF tafadhali