gnagna
Member
- Sep 9, 2015
- 36
- 18
Wadau naombeni ufafanuzi;
Nilichukua mkopo NMB takribani miezi sita iliyopita makubaliano yalikua kukata kiasi cha marejesho kila mwisho wa mwezi lakini cha ajabu wanakata pesa mara mbili kwa mwezi mmoja iyo imekaaje???
Yaani hawakati kwa tarehe inayoeleweka kwa mwezi mmoja mmoja badala yake wana kata mara mbili kwa mwezi mmoja yaani (double). Naomba ufafanuzi kwa mwenye ufahamu zaidi. Kwa sasa niko mbali na hilo tawi nililochukulia mkopo
Nilichukua mkopo NMB takribani miezi sita iliyopita makubaliano yalikua kukata kiasi cha marejesho kila mwisho wa mwezi lakini cha ajabu wanakata pesa mara mbili kwa mwezi mmoja iyo imekaaje???
Yaani hawakati kwa tarehe inayoeleweka kwa mwezi mmoja mmoja badala yake wana kata mara mbili kwa mwezi mmoja yaani (double). Naomba ufafanuzi kwa mwenye ufahamu zaidi. Kwa sasa niko mbali na hilo tawi nililochukulia mkopo