Recent content by Giojoe

  1. G

    Kwanini wanaume huwa na michepuko?

    Loading...... Near to fact. Real situation reveals that is genuine truth. well
  2. G

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    naomba uniuzie hii hadithi kaka ni tunu kubwa kwa Tanzania. whatsapp me 0763386641. please
  3. G

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nauza SAMSUNG GALAXY E5 Tsh. 250000 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. G

    Uzi maalumu vifaa vya ujenzi Uza/nunua

    bei ya hayo mabati mkuu. ni Tsh. ngapi?
  5. G

    Kwa wale Vijana wenzangu Wenye Mipango Ya Kujenga.

    asante sana. MUNGU ni mwema nitapata tu moja kati ya mjengo hapo.
  6. G

    Mlioacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe nahitaji msaada wenu

    Nice thinking. wachache sana wenye ufikir huru kama wewe. Cha msingi tambua hakuna tajiri aliyeajiriwa hapa Duniani. .moja kati ya njia za kuongeza kipato ni kuacha kazi ya kuajiriwa. Big up to u. umefikir nje ya box. Mchukie Boss ona yeye ndo amefifisha ndoto zako,ametumia muda wako kama mkanda...
  7. G

    Kuna mtu nimemzimikia

    funguka
  8. G

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!, Wanamwaminije Gwajima kuliko Rais wao?

    wewe nchi gani hutoa cheti kwa mtu mwenye zero. sasa Gwajima anasema anacho cha hiyo zero
  9. G

    Elimu ya juu huleta umasikini

    Elimu haitafuti utajiri kaka. Naona bado hujaelewa matumizi ya elimu. Ipo hivi elimu ni kitendo cha kimbadilisha mtu kifikra, kimtazamo,na kimrithisha tamaduni njema kutoka kizazi kimoja hadi kingine. katika fasili yangu kama nimegusia uhusiano wa elimu na utajiri fasili yangu haifai kusikilizwa...
  10. G

    Wewe ni nani hata usikosolewe?

    hakika uwili ni mzuri sana
  11. G

    Nyimbo gani nzuri za kusikiliza ukiwa na maumivu ya kuachwa?

    Siwezi by Baraka da Prince
  12. G

    UDSM Home of Intellectuals: Nilipokosa nafasi pale niliumia sana

    Dah kweli watanzania bado sana. Unajua kuna watu wanaaibisha sana wasomi. Wewe ni moja kati ya watu wanaokamilisha dhana ya ujinga wa kasumba ya kuwa ukisoma UDSM unakuwa intellectual non sense. Nimefundishwa sana na walimu kutoka huko. Wengi wao wanapenda sana kujisifia kama walivyo Profesa...
  13. G

    Maajabu ya mwanaume niliyenae

    Akili kubwa haiwezi kutawaliwa na akili ndogo. Kwanza umesema upo home tena mwenyewe unasema huyo jamaa anakulipia kodi halafu kila ukihitaji kupigwa mambo anakutumia nauli. Hujui unachosema na kwa haraka wewe hufanyiwi hivyo ila unawaza kwa mfano ikiwa hivyo. Ahahahahaaaa Unajitamanisha nyau wewe
Back
Top Bottom