Recent content by gilbert golden

  1. G

    Mbeya: Yadaiwa kuna wanaowatumia wenye ulemavu wa akili kutupa taka mitaani kisha kuwalipa Tsh. 500

    Huku kwetu tunawaita moko.,wapo vizuri sana..anaweza toa taka kwako kisha akaja kuzitupa nyuma wa wigo wako
  2. G

    Nachukia sana kutongozwa hovyo hovyo

    Ungetupa utaratibu wa kukutongoza aiseeee .,...kumbe ovyo ovyo hupendi... Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
  3. G

    Ujasiri, pia namna ya kumkimbia Tembo ukikutana naye popote pale endapo atakufukuza

    Njia pekee ni kukimbia kwa kukata kona kila baada ya hatua fulan....iyo ya kunyoka itakuponza..
  4. G

    Tunafanya kila kitu kasoro mapenzi, au hana hisia?

    Hapa m naona binti anaakili kuliko mtoa maada...coz yeye anajua kilichomleta...
  5. G

    Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

    Weka picha nikuone labda nitakusaidia..inawezekana watoto wamekosea tu
  6. G

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Wanakimbia kimbia tu basi
  7. G

    Mwanaume mwenye malengo na wewe utamtambua kwa haya

    Kama Mimi tu...wala simulazimishi Ku do
  8. G

    Rais Magufuli aambiwe kuwa ndege, madaraja, reli za umeme sio vipaumbele vyetu

    Unafiki mwingi kwetu sisi watanzania...we unazan kwa hali ya dunia inavyokwenda tubaki tunategemea kilimo tu.Na kufuga ngombe zisizo Na matunzo..? Tubadilike lengo ni zur la rais wetu....
Back
Top Bottom