Kwakweli hawa vijana wanajua, hizo nyimbo walizoachia mwakajana nawish zingekuwa kwenye albam moja, ingekuwa ni moja kati ya albam bora kupata kutokea bongo. Nyimbo zao karibu zote ni level moja kwa ubora kwa upande wangu, ila kuna moja ambayo haikupewa promo sana kama nyinginezo ila huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.