Asante kamanda kwa taarifa.......
mtaani kwetu CCM wamegoma kuweka diwani.........hatuna mgombea wa CCM kabisa...........Sijui shida ni nini.........
Jingalao katika ubora wa upuuzi wakeAmekuja juzi jioni
sifa za ujasiri si kuchagua upinzani tu .Jamii ya Arusha haijawahi kuwa na uoga ndio maana iliwahi kumchagua makongoro kupitia nccr.Jibuni hoja ya kwamba lema ameleta nini?
Kata gani hiyo mkuu na mkoa gani. Kumbe CCM majidai ya bure wanakosa mpaka wagombea ?!!Asante kamanda kwa taarifa.......
mtaani kwetu CCM wamegoma kuweka diwani.........hatuna mgombea wa CCM kabisa...........Sijui shida ni nini.........
nimecheka sana !uwezi kujua kafanya nini kama mmefungiwa ndani ya kachumba kanaitwa IT center Masaki.
Unaishi mkoa gani wewe gamba?
Lema kafanya lipi hasa Arusha?
Lema kafanya lipi hasa Arusha?
nimecheka sana !
Lema kafanya lipi hasa Arusha?
Hivi mtu anajiita mwanasheria halafu anadanganya umma waziwazi.
Nilidhani utakuja na analysis ya kisomi juu ya hali ngumu imayomkumba lema Arusha.
Wa
Asante kamanda kwa taarifa.......
mtaani kwetu CCM wamegoma kuweka diwani.........hatuna mgombea wa CCM kabisa...........Sijui shida ni nini.........
Afu kuna watu humu wanasema lema ashindi Arusha...Hawatujui wana Arusha hawa..Mabadiliko yalianzia hapa...Ccm hawana nafasi hata ya ubarozi wa nyumba kumi...
Ha haaa haaaa... sadam husein yuke raisi wa Kuwait???
1Kawawakilisha wana arusha bungeni, 2.kashiriki kutunga sheria bungeni 3. kaisimamia na kuishauri serekali kwa wajibu wa mbunge unavyotaka. Na chakuongezea kawafundisha watu wa Arusha kutokuwa na nidhamu ya woga na unafiki.