Ni kweli walichokifanya voda si kizuri na wanapaswa kujifunza kutokana na hilo!kv vp wote wenye laini za voda tususie kwa siku tatu ili wajue kuwa tuko msibani.
teh teh!labda aliona dudu kubwa akaogopa na kuanza kulia na hatimaye kukuacha kbs la sivyo yangemkuta ya kumkuta au kukimbia na kufuli mkononi na ndo maana ameamua aachane na wew kbs!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.