Wadau nina mpenzi wangu kipindi chapita 1 yr, ila ananishangaza na tabia yake ya kusachi mifuko yangu ya shati au suruali!
Halafu sielewi anataka nini kwani anatega muda nikienda msalani, Nilishamtega siku hiyo nikamkuta kuuliza anajibu kuwa hata mavazi ni mali yake kuwa ana uhuru huo wa kufanya!
Nitafanyaje ili tabia hii ikome.
anasachi kutafuta pesa/bill ya bar/chochote anachodhani kitamsaidia kumkamata mwizi?
nafikiri alisha wahi kua mwizi...au anatokea kwenye familia za kifisadi...nakushauri toa taarifa mapema kwenye kituo cha polisi kilicho karibu nawe....
Sijafanikiwa kuishi nae chumba kimoja ila huwa tunakutana kwenye lodge, sasa yeye nikiingia bafuni tu kosa.
kusachi ni kutazama vilivyomo eg. kondom, pesa, picha/paspot size etc. mimi naona anawivu na anataka kujiridha kwa vitu vidogo kama hivyo....hakuna tofauti na wachunguza simu. so, hana tatizo huyo. mweleze tu. kwani akikuta pesa anachukua????
Kwani mkuu wewe huwa unapekuwa pochi ya mwenzako bila idhini yake?sioni tatizo mkuu. kama anasachi na haibi tatizo lipo wapi?? jamani mbona tunacomplicate? tena anakupenda coz anataka kukujua vema ili ukimwoa asipate tabu
Inaelekea ww ni bahili kupindukia na huwa unamkatia ujira kiduchu baada ya zinaa...kwa hiyo anajimegema mwenyewe!Sijafanikiwa kuishi nae chumba kimoja ila huwa tunakutana kwenye lodge, sasa yeye nikiingia bafuni tu kosa.