Upo sahihi 100% mkuu maana kuna manzi za dar kwa sasa zimefika 3 ya kwanza ilipokuja tukacheza show mbili ikaachana na mchizi wake wa dar ila kwa sababu ambazo sikuzifaham na ya pili tukacheza show moja ilikuwa kwenye mausiano na msela ikamvua na ya tatu ina mwezi yangu imefika nimecheza show 2...
Ana ukwasa sanaa jitahid kucheza show mara kwa mara ili azoee la sivyo atapitiliza mazima mkuu hii ilishantokea bi shost aliganda kama dk 10 hiv hajielewi ila badae nikacheza show za mara kwa mara akatulia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.